saimon rusana
Member
- Mar 15, 2024
- 28
- 98
Kama Uzi unavyo jieleza! leo ndio nimejua nyumba zinaficha mengi . Leo nimeshuhudia ndoa iliyokuwa inatazamwa kama mfano hapa mtaani kwetu inaishia ukingoni.
Baada ya sokombingo kali kati ya mume na mke huku mwanamke huyo akijitoa maneno makali mbele ya watoto wa kuwazaa amesikika akihadithia wanawake wenzake kwa sauti ya juu, etc ni mwanaume gani asieridhika na K moja au anataka nibinuke kichwa chini K, juu ndiyo aridhike?
Vijana ambao mnatarajia kuingia kwenye ndoa fikirieni x 2
Ni vema kuishi peke yako
Baada ya sokombingo kali kati ya mume na mke huku mwanamke huyo akijitoa maneno makali mbele ya watoto wa kuwazaa amesikika akihadithia wanawake wenzake kwa sauti ya juu, etc ni mwanaume gani asieridhika na K moja au anataka nibinuke kichwa chini K, juu ndiyo aridhike?
Vijana ambao mnatarajia kuingia kwenye ndoa fikirieni x 2
Ni vema kuishi peke yako