4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Sina Shaka nyie ni Madaktari pia mliopitia mafunzo haya magumu yatakayo moyo na maamuzi magumu kuchukua fani hii.
Naomba mjitokeze na mtoe ufafanuzi kuhusu mitiani ya Madaktari wetu wanaomaliza intern kuamua kuwafanyisha mtihani tena na kwa malipo ya Tsh 150,000/= yana faida gani kwa mhusika au yanamjenga kwa lipi kama siyo ufisadi na wizi wa mchana kweupe?
Niseme nimewahi pitia huko that's naandika kwa uchungu maana mzigo naujua vizuri.
Mnajua nyie haikuwai kuwatokea, na hata muda huu mkipewa huo mtihani huwezi fanya lolote hata kama wewe Profesa maana medicine ni pana utafanikiwa ambulia kile wakifanyia kazi kila siku na kwa bahati mbaya hakuna duniani Profesa wa mwili mzima wa binadamu.
Sasa mmekuja na wizi kwamba Daktari (MD) amalizapo intern afanye mtihani kwa kulipia Tsh 150,000/= tena atafanya mara ya kwanza au ya pili au tatu Kama hakuweza faulu.
Iko hivi, Daktari husoma miaka mitano na ndani ya muda wote hupata mitihani ya theory na practical ambayo haina hesabu na amalizapo huenda intern takriban mwaka mzima, kwa practical zaidi chini ya Hospitali na madaktari ambao huendelea kumpika, Sasa mtihani wenu mnaowafanyisha unampima nini, kuliko madaktari waliokuwa nae na kumlea miaka yote na hatimaye mnawafanyisha mitihani tena kikanda tena wa theory?
Huenda nia ikawa nzuri japo sioni nia hiyo why wasifanye hiyo mitihani kwenye hospitali walizomalizia intern na bila malipo kama sio wizi na ufisadi.?
Na Kama huo mtihani una maana yoyote basi Madaktari wote kwa level mkiwemo na nyie mfanye. Kwamba muwatungie intern nao intern wawatungie tuone kama mtachomoka. Acheni kunyanyasa watu mara moja.
Mwisho
Waziri wa afya mpya najua wewe na Daktari, tena umesomea Urusi, niliona CV yako ebu wahoji hawa na wakupe majibu sahihi kwanini wanaleta wizi na uhuni mbele ya watanzania kwa mgongo wa chama cha Madaktari?
Watanzania siyo wajinga bwana.
Naomba mjitokeze na mtoe ufafanuzi kuhusu mitiani ya Madaktari wetu wanaomaliza intern kuamua kuwafanyisha mtihani tena na kwa malipo ya Tsh 150,000/= yana faida gani kwa mhusika au yanamjenga kwa lipi kama siyo ufisadi na wizi wa mchana kweupe?
Niseme nimewahi pitia huko that's naandika kwa uchungu maana mzigo naujua vizuri.
Mnajua nyie haikuwai kuwatokea, na hata muda huu mkipewa huo mtihani huwezi fanya lolote hata kama wewe Profesa maana medicine ni pana utafanikiwa ambulia kile wakifanyia kazi kila siku na kwa bahati mbaya hakuna duniani Profesa wa mwili mzima wa binadamu.
Sasa mmekuja na wizi kwamba Daktari (MD) amalizapo intern afanye mtihani kwa kulipia Tsh 150,000/= tena atafanya mara ya kwanza au ya pili au tatu Kama hakuweza faulu.
Iko hivi, Daktari husoma miaka mitano na ndani ya muda wote hupata mitihani ya theory na practical ambayo haina hesabu na amalizapo huenda intern takriban mwaka mzima, kwa practical zaidi chini ya Hospitali na madaktari ambao huendelea kumpika, Sasa mtihani wenu mnaowafanyisha unampima nini, kuliko madaktari waliokuwa nae na kumlea miaka yote na hatimaye mnawafanyisha mitihani tena kikanda tena wa theory?
Huenda nia ikawa nzuri japo sioni nia hiyo why wasifanye hiyo mitihani kwenye hospitali walizomalizia intern na bila malipo kama sio wizi na ufisadi.?
Na Kama huo mtihani una maana yoyote basi Madaktari wote kwa level mkiwemo na nyie mfanye. Kwamba muwatungie intern nao intern wawatungie tuone kama mtachomoka. Acheni kunyanyasa watu mara moja.
Mwisho
Waziri wa afya mpya najua wewe na Daktari, tena umesomea Urusi, niliona CV yako ebu wahoji hawa na wakupe majibu sahihi kwanini wanaleta wizi na uhuni mbele ya watanzania kwa mgongo wa chama cha Madaktari?
Watanzania siyo wajinga bwana.