HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Watakuelewa NiniKaa pembeni wenye akili wataelewa
Wanakucheka tu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuelewa NiniKaa pembeni wenye akili wataelewa
ASiko hapa kwa lugha zaidi ujaelewa kaa kaa pembeni
Watakuelewa Nini
Wanakucheka tu hapo
Sinaga mpango mkuu,nasema wizi,basi Kama nimekugusa ,jua watz sio wapumbavuWatakuelewa Nini
Wanakucheka tu hapo
ASiko hapa kwa lugha zaidi ujaelewa kaa kaa pembeni
Watakuelewa Nini
Wanakucheka tu hapo
Sinaga mpango mkuu,nasema wizi,basi Kama nimekugusa ,jua watz sio wapumbavuWatakuelewa Nini
Wanakucheka tu hapo
Wewe ni mmoja wa wahusika,hakuna vya buledunia hii, unaficha madhambi kupitia Gramma, nasema wizi Kama huu ni wizi Kama wizi mwingine.Kilio chako kimesikika, umeandika ovyo kwa hofu tu ili kujifichaficha ila uonevu , kuwanyanyasa madaktari wetu na kuwatesa kisaikolojia kupo kwenye huu mtihani, najaribu kuvaa viatu vyao mtu aliyesoma 5yrs plus 1yr internship halafu anapimwa kwa maswali kadhaa , udaktari ni mpana mno msiwanyanyase vijana wetu ama mnataka waikote makopo barabarani? Hiki kitu kimepangwa na watu wachache wenye roho mbaya, ila ninaimani Mh Gwajima mama mwenye hekima zake atalitatua hili
Pamoja na ujumbe wenye kusudi zuri, lakini unafanya tuhoji kama kweli wewe ni mwana taaluma hii ya uganga wa binadamu (Medical doctor), kiswahili ulichoandika ni tabu, nikafikiri labda kwa kuwa umesoma kwa kutumia lugha ya kigeni (kiingereza) kwa muda mrefu basi utakuwa sawa kwene uandishi wa lugha hiyo...huko nako naona una tabu ...ona ulivyoandika neno"sorry"! inasababisha wenye kufikiri wahoji uwezo wako!Mkuu sory lugha Zina wenyewe ,lengo ni kwamba watoe majibu mtiani unamsaidiaje mlengwa, kutokana na hatua nilizozotaja Kama sio wizi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]analipwa mil 1.2 mwaka mzimaa kuirudishia serikali 180k anaona ni utapeliiSijaoina point yako hapo.. Exams baada ya intern ni kitu cha kawaida ktk nchi yoyote.
Usitafute huruma hapa . Tena lipieni hata 300000 ili kufidia gharama za uandaaji na kusaisha. Si huwa mnalipwa mshahara (80%) ya salary ya Dr?!? Mnaishia kununua tv na music system.
Akili yako haijakuwa ww.
Kuna mtu hapa kwakwe akili au uwezo wa mtu anaupima kwa lugha/maandishiPamoja na ujumbe wenye kusudi zuri, lakini unafanya tuhoji kama kweli wewe ni mwana taaluma hii ya uganga wa binadamu (Medical doctor), kiswahili ulichoandika ni tabu, nikafikiri labda kwa kuwa umesoma kwa kutumia lugha ya kigeni (kiingereza) kwa muda mrefu basi utakuwa sawa kwene uandishi wa lugha hiyo...huko nako naona una tabu ...ona ulivyoandika neno"sorry"! inasababisha wenye kufikiri wahoji uwezo wako!