Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Magufuli alikuwa havumilii watu kuongea wanavyotaka. Huyu mama kaachia sana uhuru wa watu kuongea.Mwaka huu mihimili inaipata fresh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alikuwa havumilii watu kuongea wanavyotaka. Huyu mama kaachia sana uhuru wa watu kuongea.Mwaka huu mihimili inaipata fresh.
Hili ni tamko la kipuuzi na kipumbavu kabisa, sidhani kama majaji wenye akili timamu wanaweza kuandika huu ujinga, nadhani limeandikwa na kutolewa na UVCCM. Ngoja nilikosoe hapa.Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Huwezi kuwafundisha watu kitu cha kuongea, tabia ya Magufuli kuwazuia watu kuongea kile asichokipenda ilikuwa ni tabia ya kiuwendawazimu kwa 100%.Magufuli alikuwa havumilii watu kuongea wanavyotaka. Huyu mama kaachia sana uhuru wa watu kuongea.
Na ile ilikua mbaya sana tunapelekwa kama maboya bora saiv watu wanaongeaMagufuli alikuwa havumilii watu kuongea wanavyotaka. Huyu mama kaachia sana uhuru wa watu kuongea.
Wawe wakali wakati ni Kila mtu anajua hupewa maelekezo.Vinginevyo kesi kama ile ya wabunge wa mchongo 19 ingeshafikia tamati!Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania Kwa maelezo haya inaonyesha bado mnamuogopa Rostam kwanini kwa sababu;
1. kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake BILA KUMPA MUDA MAALUM
2. Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule Je AKIKATAA HAMKUONYESHA HATUA ZA KISHERIA ZA KUMCHUKULIA ROSTAM.
Mahakama ninashauri wawe wakali na Huyu jamaa.
View attachment 2677976
Kabisa.Mpambano uanze lakini usitutoe kwenye swala la bandari.
Rostam aliongea ukweliWawe wakali wakati ni Kila mtu anajua hupewa maelekezo.Vinginevyo kesi kama ile ya wabunge wa mchongo 19 ingeshafikia tamati!
rostam yuko sahihi kwa alilolisema.mahakama zetu aidha zinafanya kazi kwa maelekezo au kwa kutojiamini.wananchi wengi wa hali ya chini haki zao hupokonya na hivi vyombo vya sheria na huwa zinawapendelea matajiri.mwizi wa kuku anafungwa miaka mingi lkn wahujumu uchumi wanaachiwa huru kila kikicha.Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Kutokana na taarifa hiyo tunapenda kuhabarisha umma yafuatayo:
Hakuna Jaji anayehudumu katika Mahakama hiyo kama ilivyoripotiwa na mzungumzaji wa taarifa hiyo.
Mahakama ya Tanzania ni chombo pekee cha utoaji haki nchini kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na huendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu au chombo chochote.
Uongozi wa Mahakama na au Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote ikionyesha Maafisa wa Mahakama kupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kutoa maamuzi katika mahakama hiyo.
Kutokana na maelezo hayo Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania tunatoa kauli zifuatazo:
Kwa taarifa hii, Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Kiongozi wa Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo.
- Tumesikitishwa sana na kauli za Bw Rostam Aziz ambaye hatukutegemea aongee mambo mazito kama hayo bila kuwa na uhakika wala uthibitisho.
- Matamshi ya Bw Rostam Aziz yanaweza kuhatarisha uhusiano na ushirikiano katika mihimili mitatu ya dola ndani ya nchi yetu.
- Tunaomba wananchi wenye nia njema na Mahakama na mihimili mingine waendelee kuwa na Imani na mfumo wa utoaji haki nchini.
Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.
Imetolewa na:
UONGOZI WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU TANZANIA (JMAT)
4 JULAI 2023
Pia soma: Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali
Akishindwa kithibitisha na asipoomba radhi mtamfanyaje?
Tanzania hakuna mahakama. Kuna tawi la Ccm.Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Kutokana na taarifa hiyo tunapenda kuhabarisha umma yafuatayo:
Hakuna Jaji anayehudumu katika Mahakama hiyo kama ilivyoripotiwa na mzungumzaji wa taarifa hiyo.
Mahakama ya Tanzania ni chombo pekee cha utoaji haki nchini kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na huendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu au chombo chochote.
Uongozi wa Mahakama na au Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote ikionyesha Maafisa wa Mahakama kupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kutoa maamuzi katika mahakama hiyo.
Kutokana na maelezo hayo Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania tunatoa kauli zifuatazo:
Kwa taarifa hii, Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Kiongozi wa Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo.
- Tumesikitishwa sana na kauli za Bw Rostam Aziz ambaye hatukutegemea aongee mambo mazito kama hayo bila kuwa na uhakika wala uthibitisho.
- Matamshi ya Bw Rostam Aziz yanaweza kuhatarisha uhusiano na ushirikiano katika mihimili mitatu ya dola ndani ya nchi yetu.
- Tunaomba wananchi wenye nia njema na Mahakama na mihimili mingine waendelee kuwa na Imani na mfumo wa utoaji haki nchini.
Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.
Imetolewa na:
UONGOZI WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU TANZANIA (JMAT)
4 JULAI 2023
Pia soma: Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali
Mbona unaacha akili home mkuu? Kwamba hujui au ni kukaza Golgotha tu!! Unadhan ile kitu unaisikiaga eti dpp ameona hakuna haja ya kuendelea na kesi 🤣🤣🤣🤣Athibitishe sasa
Kama kuna chombo huru ni dakika moja, au kutoke chombo huru nje ya nchi ushahidi upo wa kutosha. Hapo kitakachofanyika ni kumtisha, lakini alichokisema ni kweli 100%.Sawa
Athibitishe
Hawa Majaji wana Tatizo- mtu kasema " wanaweza kupigiwa simu" - nini maana ya sentensi hii? wanaweza sio kwamba ni kweli... sasa labda wanathibitisha ya kwamba labda ni kweli ndio maana wanakuja juu...? Pigia mstaru - Wanaweza... si vinginevyo - labda - ni hisia tu..hujo mahakamani hakunaga kesi inayoamuliwa kwa hisia na wao wanajua rules ya self incrimination. Huyo Rostam akae tu kimya tuone kama watamfamya chochote... hawawezi- period !Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Kutokana na taarifa hiyo tunapenda kuhabarisha umma yafuatayo:
Hakuna Jaji anayehudumu katika Mahakama hiyo kama ilivyoripotiwa na mzungumzaji wa taarifa hiyo.
Mahakama ya Tanzania ni chombo pekee cha utoaji haki nchini kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na huendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu au chombo chochote.
Uongozi wa Mahakama na au Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote ikionyesha Maafisa wa Mahakama kupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kutoa maamuzi katika mahakama hiyo.
Kutokana na maelezo hayo Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania tunatoa kauli zifuatazo:
Kwa taarifa hii, Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Kiongozi wa Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo.
- Tumesikitishwa sana na kauli za Bw Rostam Aziz ambaye hatukutegemea aongee mambo mazito kama hayo bila kuwa na uhakika wala uthibitisho.
- Matamshi ya Bw Rostam Aziz yanaweza kuhatarisha uhusiano na ushirikiano katika mihimili mitatu ya dola ndani ya nchi yetu.
- Tunaomba wananchi wenye nia njema na Mahakama na mihimili mingine waendelee kuwa na Imani na mfumo wa utoaji haki nchini.
Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.
Imetolewa na:
UONGOZI WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU TANZANIA (JMAT)
4 JULAI 2023
Pia soma: Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali