escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
taratibu huku mtaani watu wanazidi kumuelewa Mama, mpaka wanajiuliza kwanini hatukuigundua hii TUNU mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mama anafanya mambo ambayo kwa macho ya kawaida ni ngumu kuamini,Mama anastahili pongeza sana wakati wote,
Mungu ampe ujasiri zaidi
Mama ni habari mpya kabisa duniani,taratibu huku mtaani watu wanazidi kumuelewa Mama, mpaka wanajiuliza kwanini hatukuigundua hii TUNU mapema.
Utaelewa tu mkuuugoro
Njoo CCM nawewe utateuliwa tu acha kuchelewa mkuu,wanapongeza ili kwenye teusi wawepo
Watasema yoteWhy 2025 not now? Kunaweza kusipatikane majibu bali kukawa na kuruhusu kukamilishwa kwa ratiba.
Hakuna ukakasi wowote,Hapa kuna kaukakasi kwa kiasi flan si dhani kama wanachosema kina ukwel ndani yake
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDIMaigizo tupu hakuna lamaana hapo
Nini mwanahabari mkuu,Wamegundua Rais anateua sana wana habaru basi kalamu zao wino unaishia kusifia hasi uongo.
akina Haniniu et al
Matapeli tupu yamekusanyika hapo#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hahahaha, wahuni tupu wamekusanyika hapoNjoo CCM nawewe utateuliwa tu acha kuchelewa mkuu,
Chadema ni zao la migohoro tu
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Ndio maana representatives mkuu,CCM YAMPONGEZA, ni watu 9 wanakaa wanasema wamempongeza. Ccm ina wanachama zaidi ya 10 milioni wasikilizeni wanasema nini kuhusu maza.
Tena wakijingaUpuuzi mtupu
Karibu sana acha kupoteza wakati huko mkuu,Hahahaha, wahuni tupu wamekusanyika hapo
Hawa waandishi baada ya kugundua Rais anateua wanahabari kwenye vyeo basi akili zimewafytuka.
Siwezi kuwa sehemu ya ibilisi mkuuKaribu sana acha kupoteza wakati huko mkuu,
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Ulivyoteuliwa haya ndio maneno yakoHakika Rais wetu anastahili pongezi sana,
Mambo anayoyafanya yalishindikana miaka na miaka,
Leo amejitahidi katika sekta mambo yanakwenda,
Hongera CCM || Hongera Rais Samia
😅😅😅Mungu yu mwema huyu mama angepiga picha na Biden aisee tungejificha wapi sijui. Ila ndio hivyo waleta ARV wamemkataa.