Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kweli tupuMungu yu mwema huyu mama angepiga picha na Biden aisee tungejificha wapi sijui. Ila ndio hivyo waleta ARV wamemkataa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tupuMungu yu mwema huyu mama angepiga picha na Biden aisee tungejificha wapi sijui. Ila ndio hivyo waleta ARV wamemkataa.
Hawa waandishi baada ya kugundua Rais anateua wanahabari kwenye vyeo basi akili zimewafytuka.
well narated
Kwahiyo Shaka ameita Press kwa ajili ya kumwagia sifa mama tu? Au kuna jambo lingine muhimu ameongea?Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza na kumshukuru amiri Jeshi mkuu na Rais wa JMT Mama Samia Suluhu Hassan kwa Uzalendo wake kwa Taifa, Ushupavu na Ujasiri katika kulinda na kusimamia "Tunu za Taifa" letu kwa nguvu zake zote kwa akili zake zote na kwa moyo wake wote huku msingi mkuu wa yote haya ukiwa ni kuwaletea wananchi hawa masikini maendeleo endelevu.
Chama cha Mapinduzi pia kimempongeza na kumsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwathamani watumishi wa umma nchini ikiwa ni baada ya zaidi ya watumishi 180,000 kupandishwa vyeo (kuongezwa mishahara) na Wale wote wanaodaiwa mikopo ya bodi (HESLB) ambao kila mwezi walikatwa 15% ya Mshahara wao Mhe Samia Suluhu Hassan kawaondolea hiyo Value Retention Fee (VRF) ambayo ilikuwa ni 6% nakuwafanya wakatwe 9% tu kwa mwezi hivi leo.
Chama cha mapinduzi kimempongeza pia Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza kodi ya Mishahara kwa watumishi wote wa Umma na binafsi yaani (PAYE) kutoka 9% ya awali hadi 8% hii yote ni nia ya Serikali ya CCM katika kuwaletea wananchi wake maendeleo endelevu.
Chama kimempongeza zaidi Rais Samia Suluhu Hassan katika kusimamia Utawala wa Sheria na Utawala bora, Haki za kibinadamu, Ukuzaji mkubwa wa demokrasia ya vyama vingi nchini, kujenga inchi isiyoyegemea itikadi ya dini|kabila|kanda yeyote na kuufurusha kila aina ya Ufisadi na Rushwa nchi.
Haya yamesemwa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Mhe Shana Hamdu Shaka alipokuwa akiongea na Wanahabari Ofisi ndogo ya Lumumba Jijini Dar es Salaam.
Kupe Kama kupe.kwamba ni Kupe?
Mkuu ,wanapongeza ili kwenye teusi wawepo
Kwel kabisa upo sahihi man.Hakuna ukakasi wowote,
Ref, Uchaguzi Konde mkuu
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Safi sana uongozi CCM Taifa,Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza na kumshukuru amiri Jeshi mkuu na Rais wa JMT Mama Samia Suluhu Hassan kwa Uzalendo wake kwa Taifa, Ushupavu na Ujasiri katika kulinda na kusimamia "Tunu za Taifa" letu kwa nguvu zake zote kwa akili zake zote na kwa moyo wake wote huku msingi mkuu wa yote haya ukiwa ni kuwaletea wananchi hawa masikini maendeleo endelevu.
Chama cha Mapinduzi pia kimempongeza na kumsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwathamani watumishi wa umma nchini ikiwa ni baada ya zaidi ya watumishi 180,000 kupandishwa vyeo (kuongezwa mishahara) na Wale wote wanaodaiwa mikopo ya bodi (HESLB) ambao kila mwezi walikatwa 15% ya Mshahara wao Mhe Samia Suluhu Hassan kawaondolea hiyo Value Retention Fee (VRF) ambayo ilikuwa ni 6% nakuwafanya wakatwe 9% tu kwa mwezi hivi leo.
Chama cha mapinduzi kimempongeza pia Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza kodi ya Mishahara kwa watumishi wote wa Umma na binafsi yaani (PAYE) kutoka 9% ya awali hadi 8% hii yote ni nia ya Serikali ya CCM katika kuwaletea wananchi wake maendeleo endelevu.
Chama kimempongeza zaidi Rais Samia Suluhu Hassan katika kusimamia Utawala wa Sheria na Utawala bora, Haki za kibinadamu, Ukuzaji mkubwa wa demokrasia ya vyama vingi nchini, kujenga inchi isiyoyegemea itikadi ya dini|kabila|kanda yeyote na kuufurusha kila aina ya Ufisadi na Rushwa nchi.
Haya yamesemwa na Katibu wa Nec Itikadi na Uenezi CCM Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka alipokuwa akiongea na Wanahabari Ofisi ndogo ya Lumumba Jijini Dar es Salaam.
😍😍😍Safi sana uongozi CCM Taifa,
Tunaimani kubwa sana na ninyi,
Umekuwa wazalendo wa kweli wakati wote,
Kazi iendelee
Don't live the past the past mkuu Wangu,Kwel kabisa upo sahihi man.
Ref: mikutano ya vyama vya siasi ilivyo hiv sasa (Chama tawala V/S Wapinzani) wanatreatiwa sawa?
Kwel kabisa upo sahihi man.
Ref: mikutano ya vyama vya siasi ilivyo hiv sasa (Chama tawala V/S Wapinzani) wanatreatiwa sawa?
Kachanganyikiwa na huu moto wa SamiaMkuu ,
Babati upo?
Kupe Kama kupe.
😍😍😍
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI ||
Unaona haya sio ya Muhimu?Kwahiyo Shaka ameita Press kwa ajili ya kumwagia sifa mama tu? Au kuna jambo lingine muhimu ameongea?
Acha uchonganishi wewe mtuMama anapika Nyau anamsubiri. Nyumba ina kuta za rangi ya kijani.View attachment 1972835
Hakuna past hapo. Kwan wakati NCCR na chadema wanazuiliwa/kuvurugiwa mikutano yao ya ndan na polisi huku chama tawala kinafanya mikutano bila pingamizi huwa unafumba macho? Kwenye swala la demokrasia kuanzia awamu ya 5 had hapa tulipo sasa watawala wamefeli kabisaa.Don't live the past the past mkuu Wangu,
Utachelewa sana kufika,
😍😍😍
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI ||