ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
Nathani tatizo la watu wetu wanawaza tu uteuzi,Ujinga tu huu,
Uteuzi ni takwa la anayeteua,
Uteuzi sio lazima
Sindano zinawaingia vizuri naona,
Hawawazi juu ya Taifa lao kesho,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nathani tatizo la watu wetu wanawaza tu uteuzi,Ujinga tu huu,
Uteuzi ni takwa la anayeteua,
Uteuzi sio lazima
Sindano zinawaingia vizuri naona,
Kama tunadanganya ukweli ni upi?Poor you! kujenga madaraka au madawati, kawadanganyeni wanyonge
Chadema inamvuto wapi?Dogo mtahangaika Sana! ccm haina mvuto hata mfanye kitu gani hakuna kitu mtabadili labda mkubali katiba mpya
Mi sio chadema lakini niweke kumbukumbu sawa. Msimamo wa chadema ulikuwa ni kukubali uwepo wa covidi na kuchukua tahadhali, ikalazimu Wabunge wa cdm kuondoka bungeni kwenda lock down, maccm mkiongozw na yule zwazwa dugai mkawaponda sana.Chadema inamvuto wapi?
Mbona mlisema chanjo ni agenda yenu mbona mlikwama mpaka Rais Samia alipokuja kuweka mambo sawa,
😍😍😍Mtu na nusu
Miezi sita ya Rais Samia,Hakika!
Rais wetu mpendwa Samia ameonyesha ushupavu wa hali ya juu.
ushupavu wake na Uimara wake alio uonyesha ndani ya muda mfupi umetufanya watanzania wote tujiamini zaidi.
tunamuomba aendelee hivyo hivyo.
tunamuombea Mungu azidi kumlinda.
Chanjo haikuwa sera ya Chadema awali?Mi sio chadema lakini niweke kumbukumbu sawa. Msimamo wa chadema ulikuwa ni kukubali uwepo wa covidi na kuchukua tahadhali, ikalazimu Wabunge wa cdm kuondoka bungeni kwenda lock down, maccm mkiongozw na yule zwazwa dugai mkawaponda sana.
kumbuka upuuzi wa Mwendakuzimu aliwabeza cdm, who, jumuiya ya kimataifa, pamoja kanisa katoliki, lakini covidi ikamwondoa duniani
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,Dogo mtahangaika Sana! ccm haina mvuto hata mfanye kitu gani hakuna kitu mtabadili labda mkubali katiba mpya
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza na kumshukuru amiri Jeshi mkuu na Rais wa JMT Mama Samia Suluhu Hassan kwa Uzalendo wake kwa Taifa, Ushupavu na Ujasiri katika kulinda na kusimamia "Tunu za Taifa" letu kwa nguvu zake zote kwa akili zake zote na kwa moyo wake wote huku msingi mkuu wa yote haya ukiwa ni kuwaletea wananchi hawa masikini maendeleo endelevu.
Chama cha Mapinduzi pia kimempongeza na kumsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwathamani watumishi wa umma nchini ikiwa ni baada ya zaidi ya watumishi 180,000 kupandishwa vyeo (kuongezwa mishahara) na Wale wote wanaodaiwa mikopo ya bodi (HESLB) ambao kila mwezi walikatwa 15% ya Mshahara wao Mhe Samia Suluhu Hassan kawaondolea hiyo Value Retention Fee (VRF) ambayo ilikuwa ni 6% nakuwafanya wakatwe 9% tu kwa mwezi hivi leo.
Chama cha mapinduzi kimempongeza pia Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza kodi ya Mishahara kwa watumishi wote wa Umma na binafsi yaani (PAYE) kutoka 9% ya awali hadi 8% hii yote ni nia ya Serikali ya CCM katika kuwaletea wananchi wake maendeleo endelevu.
Chama kimempongeza zaidi Rais Samia Suluhu Hassan katika kusimamia Utawala wa Sheria na Utawala bora, Haki za kibinadamu, Ukuzaji mkubwa wa demokrasia ya vyama vingi nchini, kujenga inchi isiyoyegemea itikadi ya dini|kabila|kanda yeyote na kuufurusha kila aina ya Ufisadi na Rushwa nchi.
Haya yamesemwa na Katibu wa Nec Itikadi na Uenezi CCM Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka alipokuwa akiongea na Wanahabari Ofisi ndogo ya Lumumba Jijini Dar es Salaam.
GoodRais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,
miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000
Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
Wanyonge?Poor you! kujenga madaraka au madawati, kawadanganyeni wanyonge
Kuwa chawa wa CCM ni fedheha sana.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza na kumshukuru amiri Jeshi mkuu na Rais wa JMT Mama Samia Suluhu Hassan kwa Uzalendo wake kwa Taifa, Ushupavu na Ujasiri katika kulinda na kusimamia "Tunu za Taifa" letu kwa nguvu zake zote kwa akili zake zote na kwa moyo wake wote huku msingi mkuu wa yote haya ukiwa ni kuwaletea wananchi hawa masikini maendeleo endelevu.
Chama cha Mapinduzi pia kimempongeza na kumsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwathamani watumishi wa umma nchini ikiwa ni baada ya zaidi ya watumishi 180,000 kupandishwa vyeo (kuongezwa mishahara) na Wale wote wanaodaiwa mikopo ya bodi (HESLB) ambao kila mwezi walikatwa 15% ya Mshahara wao Mhe Samia Suluhu Hassan kawaondolea hiyo Value Retention Fee (VRF) ambayo ilikuwa ni 6% nakuwafanya wakatwe 9% tu kwa mwezi hivi leo.
Chama cha mapinduzi kimempongeza pia Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza kodi ya Mishahara kwa watumishi wote wa Umma na binafsi yaani (PAYE) kutoka 9% ya awali hadi 8% hii yote ni nia ya Serikali ya CCM katika kuwaletea wananchi wake maendeleo endelevu.
Chama kimempongeza zaidi Rais Samia Suluhu Hassan katika kusimamia Utawala wa Sheria na Utawala bora, Haki za kibinadamu, Ukuzaji mkubwa wa demokrasia ya vyama vingi nchini, kujenga inchi isiyoyegemea itikadi ya dini|kabila|kanda yeyote na kuufurusha kila aina ya Ufisadi na Rushwa nchi.
Haya yamesemwa na Katibu wa Nec Itikadi na Uenezi CCM Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka alipokuwa akiongea na Wanahabari Ofisi ndogo ya Lumumba Jijini Dar es Salaam.
Kuwa chawa wa CCM ni fedheha sana.
😍😍Nathani tatizo la watu wetu wanawaza tu uteuzi,
Hawawazi juu ya Taifa lao kesho,
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza na kumshukuru amiri Jeshi mkuu na Rais wa JMT Mama Samia Suluhu Hassan kwa Uzalendo wake kwa Taifa, Ushupavu na Ujasiri ...
AmenHongera