Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Patamu hapoSema kiumeumanaaaaaa....mbwa kamula mbwa mwenziee
Amjibu Polepole, awajibu gazeti la Uhuru, au Gwajima? Au awajibu CHADEMA ? Kazi wanayoCcm siyo chama cha kisiasa bali,ni kichaka cha wahuni watupu!
Hana ishu mzanzibari huyu. Akaongee kwao huko.Shaka H. Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu Ya Taifa ( Itikadi na Uenezi)
Kwao Madagascar?!!Hana ishu mzanzibari huyu. Akaongee kwao huko.
Wewe wasema....Ccm siyo chama cha kisiasa bali,ni kichaka cha wahuni watupu!
CCM ni taasisi kubwa mno.....
Kumbuka ni TAASISI YA IMANI NA ITIKADI.......
NITAIPENDA CCM DAIMA DUMU
#SiempreCCM
#KaziIendelee
Twende taratibu tu mkuu.Sijajua kwanini Shaka anapanic!!
Sema kiumeumanaaaaaa....mbwa kamula mbwa mwenziee