Chama cha Mapinduzi kukutana na waandishi wa habari leo 11 Agosti, 2021

Chama cha Mapinduzi kukutana na waandishi wa habari leo 11 Agosti, 2021

Hata nyumbani kwako utakuwa na watoto 5 mmoja anaweza kuwa mwizi au mdokozi......

CCM ni bahari.....haikosi watu wa aina hiyo na ndio maana tulikuja na KUJIVUA GAMBA.....umejisahaulisha ?!!
 
Chama Cha Mapinduzi ( CCM) leo Jumatano Agosti 11, 2021 kitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari

Shaka H. Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu Ya Taifa ( Itikadi na Uenezi)
Kimeumana dadeki.

Wahafidhina (team Magu) wanataka kumng'oa mama mchana kweupe dadeki!
 
Hata nyumbani kwako utakuwa na watoto 5 mmoja anaweza kuwa mwizi au mdokozi......

CCM ni bahari.....haikosi watu wa aina hiyo na ndio maana tulikuja na KUJIVUA GAMBA.....umejisahaulisha ?!!
Chama chao kuna majizi, majambazi na magaidi, mengine yapo jela now. Nyani haoni kundule mkuu
 
CCM wanaanzisha haya mambo makusudi kubadili upepo wa kisiasa.Gazeti lina makada tele na tele hvyo hakuna cha bahati mbaya-they know what they are doing-Na tarehe 15/8 kuwakumbusheni tu, tozo mpya PHASE II zinaanza.
 
Nani alikudanganya mimi nina watoto? Acha kujitoa ufahamu kutaka kuplay down kuhusu majizi ndani ya maccm na Serikali.
Hata nyumbani kwako utakuwa na watoto 5 mmoja anaweza kuwa mwizi au mdokozi......

CCM ni bahari.....haikosi watu wa aina hiyo na ndio maana tulikuja na KUJIVUA GAMBA.....umejisahaulisha ?!!
 

Hata nyumbani kwako utakuwa na watoto 5 mmoja anaweza kuwa mwizi au mdokozi......


CCM ni bahari.....haikosi watu wa aina hiyo na ndio maana tulikuja na KUJIVUA GAMBA.....umejisahaulisha ?!!
 
Kimeumana. mama kapandisha mashetani ya kizanzibari mafisadi wanataka kumtoa kwenye mbio za urais 2025
 
Chama chao kuna majizi, majambazi na magaidi, mengine yapo jela now. Nyani haoni kundule mkuu
🤣🤣Ha ha ha na WENGINE ni majizi ya magari ambayo yalikuwa yanajiandaa kuwa mawaziri wa fedha.....ha ha ha
 
Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Tanzania kwa kuendelea kuwakumbatia majizi, mafisadi na wauaji. Wizi wa trillions za walipa kodi kwa miaka mingi sasa unaona ni kitu kidogo sana.
Nimesema "utakuwa".....

#KaziIendelee
 
Kimeumana dadeki.

Wahafidhina (team Magu) wanataka kumng'oa mama mchana kweupe dadeki!
Mama ndiye mwenyekiti....

Chama chetu si cha KILIBERALI....

Mwenyekiti anashika hatamu haswaaa.....

#KaziIendelee
#SiempreCCM
 
Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Tanzania kwa kuendelea kuwakumbatia majizi, mafisadi na wauaji. Wizi wa trillions za walipa kodi kwa miaka mingi sasa unaona ni kitu kidogo sana.
Sawa Sasa mwerevu kama wewe una faida gani kwa Tanzania ?!! 🤣
 
CCM ina agenda gani au habari gani inayotaka kutujuza kupitia mkutano huo?
 
Siku ukitia akili utaelewa kwa sasa endelea kuonyesha ujuha wako hadharani.
248E1E3D-35D9-42BF-9300-DA8A54510BBA.jpeg

Sawa Sasa mwerevu kama wewe una faida gani kwa Tanzania ?!! 🤣
 
Back
Top Bottom