Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hiki siyo chama ni genge la wahuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinaongozwa na Mwenyekiti wa Parole Tanzania!!!Hiki siyo chama ni genge la wahuni
BashiteKwani "TLP" na chenyewe ni chama??? Au ni "KIKUNDI" cha wendawazimu tu flaani wanaohitaji kufanyiwa "WINDOWS INSTALLATION" upya vichwani.
Aliewaroga atakua "AMESHAKUFA" halafu alikua "HOMOSEXUAL".
Hivi hiki ni chama cha siasa? Kweli hapo ni jogoo house!View attachment 1443144
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya corona
Hawa ndio wazalendo wa kweli wasiotumiwa na mabeberu.View attachment 1443144
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya corona
Wanatumiwa na nani sasa??Hawa ndio wazalendo wa kweli wasiotumiwa na mabeberu.
Unajifanya hujui?Wanatumiwa na nani sasa??
Nitajuaje wakati ni wewe ndiye ulisema hawatumiwi na mabeberu? Ndiyo maana nimeuliza kama hawatumiwi na Mabeberu wanatumiwa na nani?Unajifanya hujui?
Hawatumiki na wala hawatumiwi na mtu. Ni wazalendo wanaoipenda nchi yao.Nitajuaje wakati ni wewe ndiye ulisema hawatumiwi na mabeberu? Ndiyo maana nimeuliza kama hawatumiwi na Mabeberu wanatumiwa na nani?
Wewe umejuaje kwamba hawatumiwi na mtu. Wewe ni mwanachama wa TLP?Hawatumiki na wala hawatumiwi na mtu.
Wewe ni mwanga, au mtabiri?Mrema hatuona uchaguzi wa 2020. nimemaliza
Kwani kufahamu hilo mpaka uwe mwanachama wa TLP? Mzalendo anajulikana tu.Wewe umejuaje kwamba hawatumiwi na mtu. Wewe ni mwanachama wa TLP?
Hao wengine umejuaje kama si wazalendo? Uzalendo wa TLP umeupimaje kwenye hiyo hoja yao ya kuitisha Mkutano Mkuu wa chama chao kusema inamuunga mkono mtu ambaye hata chama chake CCM hakijaitisha Mkutano Mkuu wa kumpitisha kuwa Mgombea?Kwani kufahamu hilo mpaka uwe mwanachama wa TLP? Mzalendo anajikana tu.
Kitendo cha kumuunga mkono mzalendo namba 1. Hii ni ishara kuwa wanamapenzi na nchi yao na manufaa ya nchi yao.Hao wengine umejuaje kama si wazalendo? Uzalendo wa TLP umeupimaje kwenye hiyo hoja yao ya kuitisha Mkutano Mkuu wa chama chao kusema inamuunga mkono mtu ambaye hata chama chake hakijaitisha Mkutano Mkuu wa kumpitisha kuwa Mgombea?