Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mrema kajengewa nyumba Salasala Mnarani, Nani hajui?????Kinaongozwa na Mwenyekiti wa Parole Tanzania!!!
Mrema is just a silly puppet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrema kajengewa nyumba Salasala Mnarani, Nani hajui?????Kinaongozwa na Mwenyekiti wa Parole Tanzania!!!
Kumbe pale sinza alishahama!?Mrema kajengewa nyumba Salasala Mnarani, Nani hajui?????
Mrema is just a silly puppet
Hiyo Namba inatolewa kwa kigezo gani? Na akitoka madarakani ataendelea kuwa Namba moja?Kitendo cha kumuunga mkono mzalendo namba 1. Hii ni ishara kuwa wanamapenzi na nchi yao na manufaa ya nchi yao.
Jibu unalo.Hiyo Namba inatolewa kwa kigezo gani? Na akitoka madarakani ataendelea kuwa Namba moja?
Ingekuwa jibu ninalo ningeuliza?Jibu unalo.
Nimeandika "inatupenda sana sisi ....." ina maana we will die before him.Hapo umevuka mpaka sasa. Kwa taarifa yako unaweza kutangulia kabla yao. Kumbuka waliomchuria EL mwaka 2015 wako wapi sasa hivi. Wakati mwingine mtumiage akili!
mwambieni Mwenyekiti, COVID inapenda kuanza na wenye maradhi Sugu, Mzee kaa nyumbani achana na hii mikutano kwa sasa utaumia.. huu ni ushauri wa bure kwako.Mrema mrema mrema!
Covid-19 inatupenda sana sisi wanyonge lakini nyie goigoi inabeba kama mwewe achukuavyo kifaranga!! We endelea kuunga mkono juhudi.
Tusilaumiwe kwamba hatukukuonya.
Wanawahi mahela ya 'campain'. Subiri utamsikia Shibuda nae karibuni.Hizi haraka za nini hata bado CCM yenyewe haijafanya Mkutano wake Mkuu kuhusu Mgombea Urais 2020!!
Shibuda huwa anajifanya mswahili fulani hivi!!Wanawahi mahela ya 'campain'. Subiri utamsikia Shibuda nae karibuni.
Amwangalie huyo anaeenda kumuunga mkono, ana karibu mwezi wa tatu mafichoni kule karibu na Burigimwambieni Mwenyekiti, COVID inapenda kuanza na wenye maradhi Sugu, Mzee kaa nyumbani achana na hii mikutano kwa sasa utaumia.. huu ni ushauri wa bure kwako.
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Kwani TLP hawezi kufanya muungano na CCM? Mbona wale jamaa waliunda UKAWA!Hiki chama kifutwe tu kiungwe ndani ya CCM na wanachame wake wote, pesa za ruzuku zinapotea tu bure.
Ccm ana shida gani hadi waunge chama kimoja na tlp?kunya anye
kuku akinya bata kaharisha. Kwani TLP hawezi kufanya muungano na CCM? Mbona wale jamaa waliunda UKAWA!
Kasome katiba ya JMT ibara ya 33, utapata jibu.Ingekuwa jibu ninalo ningeuliza?