Chama cha Upinzani ambacho hakinaga mmiliki ni NCCR Mageuzi, kinafahamika Nchi mzima Tundu Lissu arejee kukiimarisha

Chama cha Upinzani ambacho hakinaga mmiliki ni NCCR Mageuzi, kinafahamika Nchi mzima Tundu Lissu arejee kukiimarisha

NCCR ilikuwa imejaa watu wa system ambao walitumwa na CCM kukuanzisha kuzuga watu
Ndio maana kila anayeiingia anachomoka na kiapo cha kufunga mdomo
 
Nccr Mageuzi ilishageuzwa punda wa ccm siku nyingi.
 
Nccr Mageuzi ni kundi kubwa lililounda movement ya mabadiliko ya Kisiasa nchini

Vyama vingine Vyote viliundwa Kwa Wazo la Mtu mmoja mmoja aliyeamua kuwashirikisha Rafiki zake Ili Kupata idadi ya Wanachama wanaohitajika kisheria kusajili Chama

Mfano Chadema ni Wazo la Mzee Tuntemeke Sanga aliyewaalika rafiki zake akina Mwakitwange, Mtei, Ngaiza na Makani pale Motel Agip na kuwashirikisha maono yake kisha wakaiba Katiba ya awali ya Nccr Mageuzi na kuifanya yao 😂

Sasa kama Lisu anataka Kufanya Siasa Shirikishi na kuachiana na Siasa uchwara za kunywea Mbege basi arejee Nccr Mageuzi

21 January hawezi kushinda Uenyekiti Chadema Kwa sababu Wajumbe 1200 ni wachache Sana kuwatia kwenye gunia na kuwanunua Kwa Bei ya Jumla

Ahsanteni Sana 😂🔥
Wajumbe 1200 wanawekwa kwenye kiroba au gunia na kujumlishwa? We Mwakitwange wewe
 
Ukitaka kujua pori halina mwenyewe kweli we lima au kata walau mti mmoja afu usikikizie.
 
Nccr Mageuzi ni kundi kubwa lililounda movement ya mabadiliko ya Kisiasa nchini

Vyama vingine Vyote viliundwa Kwa Wazo la Mtu mmoja mmoja aliyeamua kuwashirikisha Rafiki zake Ili Kupata idadi ya Wanachama wanaohitajika kisheria kusajili Chama

Mfano Chadema ni Wazo la Mzee Tuntemeke Sanga aliyewaalika rafiki zake akina Mwakitwange, Mtei, Ngaiza na Makani pale Motel Agip na kuwashirikisha maono yake kisha wakaiba Katiba ya awali ya Nccr Mageuzi na kuifanya yao 😂

Sasa kama Lisu anataka Kufanya Siasa Shirikishi na kuachiana na Siasa uchwara za kunywea Mbege basi arejee Nccr Mageuzi

21 January hawezi kushinda Uenyekiti Chadema Kwa sababu Wajumbe 1200 ni wachache Sana kuwatia kwenye gunia na kuwanunua Kwa Bei ya Jumla

Ahsanteni Sana 😂🔥
Kumbe wakati mwingine una akili sana.Ukweli mchungu Lissu akipata zaidi ya 20% akatoe sadaka Misikitini na Makanisani.

Lissu si Kiongozi ni mwanaharakati uchwara
Lissu hana ushawishi ndani ya CDM.
Lissu ni mropokaji mahiri
Lissu anajua atashindwa asubuhi lakini hana plan B.
Huko NCCR unakomshawishi hawataki sarakasi zake.
Akienda ACT watamyumia kwa muda mfupi sana halafu watamtimua hawawezi kufuga jini.Si hivyo tu kile chama ni Wapembe,Swala tano na ukanda wa Pwani.Lissu anatokea Singida kwa wala Punda utamaduni tofauti Pwani.
 
Nccr Mageuzi ni kundi kubwa lililounda movement ya mabadiliko ya Kisiasa nchini

Vyama vingine Vyote viliundwa Kwa Wazo la Mtu mmoja mmoja aliyeamua kuwashirikisha Rafiki zake Ili Kupata idadi ya Wanachama wanaohitajika kisheria kusajili Chama

Mfano Chadema ni Wazo la Mzee Tuntemeke Sanga aliyewaalika rafiki zake akina Mwakitwange, Mtei, Ngaiza na Makani pale Motel Agip na kuwashirikisha maono yake kisha wakaiba Katiba ya awali ya Nccr Mageuzi na kuifanya yao 😂

Sasa kama Lisu anataka Kufanya Siasa Shirikishi na kuachiana na Siasa uchwara za kunywea Mbege basi arejee Nccr Mageuzi

21 January hawezi kushinda Uenyekiti Chadema Kwa sababu Wajumbe 1200 ni wachache Sana kuwatia kwenye gunia na kuwanunua Kwa Bei ya Jumla

Ahsanteni Sana 😂🔥
Inawezekana kabisa kula hela na kuamua vinginevyo sababu ukipewa rushwa hunyang'anywi kichwa
 
Kumbe wakati mwingine una akili sana.Ukweli mchungu Lissu akipata zaidi ya 20% akatoe sadaka Misikitini na Makanisani.

Lissu si Kiongozi ni mwanaharakati uchwara
Lissu hana ushawishi ndani ya CDM.
Lissu ni mropokaji mahiri
Lissu anajua atashindwa asubuhi lakini hana plan B.
Huko NCCR unakomshawishi hawataki sarakasi zake.
Akienda ACT watamyumia kwa muda mfupi sana halafu watamtimua hawawezi kufuga jini.Si hivyo tu kile chama ni Wapembe,Swala tano na ukanda wa Pwani.Lissu anatokea Singida kwa wala Punda utamaduni tofauti Pwani.
Niko hapa Rombo wajumbe Wote wameingiziwa Nusu muamala na 21 January ni ukamilisho 😂😂😂
 
Kumbe wakati mwingine una akili sana.Ukweli mchungu Lissu akipata zaidi ya 20% akatoe sadaka Misikitini na Makanisani.

Lissu si Kiongozi ni mwanaharakati uchwara
Lissu hana ushawishi ndani ya CDM.
Lissu ni mropokaji mahiri
Lissu anajua atashindwa asubuhi lakini hana plan B.
Huko NCCR unakomshawishi hawataki sarakasi zake.
Akienda ACT watamyumia kwa muda mfupi sana halafu watamtimua hawawezi kufuga jini.Si hivyo tu kile chama ni Wapembe,Swala tano na ukanda wa Pwani.Lissu anatokea Singida kwa wala Punda utamaduni tofauti Pwani.

what shit are u talking. Tz inamhitaji asiye compromise na watesi
 
Back
Top Bottom