Chama cha wasio waislam wala wakristo kinahitajika

Chama cha wasio waislam wala wakristo kinahitajika

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20, sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact, scientific theories.

Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu potofu na wachungaji kuwadanganya waumini.

Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho yanachochea fujo most of the time.

Nina mpango wa kuanzisha atheist society Tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho.

Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam.

Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha inapanda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ukristo wala uislam ili taifa liondokane na huu utumwa.

Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye mantiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society.

Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist Tanzania.

Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo.
 
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories

Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini

Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time


Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho

Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam

Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa

Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii

Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania

Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.

Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.

Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.

Wapagani ni wachache sana Tanzania.

Hili mosi.

Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.

Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.

Hakuna.

Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.

Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.

Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.

Katika Upagani Tanzania hakuna watu.

Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.

Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."

Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.

Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.

Wote ni sawa.

Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
 
Mimi nashangaa katiba yetu ipo wazi kabisa kuhusiana na mambo ya dini ila mtu akiwa nje ya hizi dini nbili anaonekana mkosaji mbele ya jamii iliyokumbatia vitu visivyo na uhakika.

Jamii yetu inajivunia vitisho tu pale ukiwa huamini mambo yao, ila cha ajabu zaidi ukiwaacha na kuwa mtazamaji wanaanza kugombana tena wao kwa wao kila mmoja akimuona mwenzake amekengeuka kisa tu yupo dini tofauti na yeye.
 
Nakushauri achana kabisa na hilo wazo, nchi hii bado haijafika huko, unaweza kuwa unajihatarishia usalama wako tu na mambo yako kutoka kwa wafia dini.
 
Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.

Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.

Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.

Wapagani ni wachache sana Tanzania.

Hili mosi.

Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.

Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.

Hakuna.

Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.

Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.

Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.

Katika Upagani Tanzania hakuna watu.

Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.

Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."

Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.

Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.

Wote ni sawa.

Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Wewe Mzee ni Muongo au niseme
Mjinga

(Mjinga ni Mtu anayehitaji kueleweshwa akawa Mwerevu)

Mosi, Atheists sio Wapagani

Wapagani hawaamini katika Mungu wa Waislam wala Wakristo lakini wanaamini katika Miungu na Mizimu wakati Atheists haamini katika Spiritual Power yoyote, wanaamini katika Sayansi na Utafiti

Unaposema hakuna Atheists waliotoka katika Uislam ni UONGO. U.S.A na UK robo ya Idadi ya Atheists waliojitangaza Rasmi walikuwa Waislam na 1/3 walikuwa Wakristo

Jitahidi Uandike Ukweli na kuacha Uongo au Ufanye Utafiti kwanza.
 
Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.

Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.

Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.

Wapagani ni wachache sana Tanzania.

Hili mosi.

Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.

Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.

Hakuna.

Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.

Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.

Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.

Katika Upagani Tanzania hakuna watu.

Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.

Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."

Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.

Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.

Wote ni sawa.

Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Kuna tofauti kubwa kati ya "Pagans" na "Atheists"

Wapagani ni jina walilopewa watu walioamini imani tofauti na Ukristo kwa kuanzia na baadaye Uislamu ulipokuja. Watu waliokuwa tofauti na imani hizi kama Waafrika waliokuwa na dini zao za asili, Wahindu n.k ndio waliitwa wapagani. Atheists ni watu wasioamini katika imani au dini yoyote.
 
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories

Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini

Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time


Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho

Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam

Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa

Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii

Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania

Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
SIKUJUA KAMA NA WEWE NI MJINGA KIASI HICHO
 
Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.

Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.

Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.

Wapagani ni wachache sana Tanzania.

Hili mosi.

Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.

Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.

Hakuna.

Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.

Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.

Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.

Katika Upagani Tanzania hakuna watu.

Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.

Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."

Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.

Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.

Wote ni sawa.

Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Huyu ameshaanza fujo😂
 
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Mzee Mohamed,

Upagani si kutoamini uwepo wa mungu, Bali upagani ni kuamini katika miungu au dini za kijadi.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.

Hakuna.
Mzee Mohamed,

Hili si kweli Nina marafiki waliokulia madrasa tangu utoto wao, na baba yake ni sheikh na mtu anayeheshimika katika jamii. Lakini alikata kabisa mawasiliano Na msikitini tangu akiwa na miaka 17.

alisomea mambo ya engineering yupo mtwara kwa dangote. Na ana doubt kuhusu uwepo wa mafundisho aliyokuwa akilishwa.

Tunazaliwa tukiwa hatuna dini wala imani yoyote, tunaanza kuaminishwa vitu ambavyo bado hatuna uelewa navyo. Kadri muda unavyokwenda tunaanza kufikiri vitu kwa upana zaidi.

Si lazima iwe kwamba Hakuna muislamu aliyeshika dini akaacha, wapo tena kwenye jamii yetu tunaishi nao.
 
Karibu sana niko naandaa mpango .... kuanzisha hili jamboo nipo na doctor mmoja na vijana wachache tutahakikisha tunafanikisha nitaleta tarehe ya kikao humu
Achaneni na huo mpango, mtakuwa "outcasts" na mtaharibu future yenu kabisa hasa kwa nyie vijana. Watanzania wengi bado ni watu wa kidini wasioweza kabisa kuwa na mawazo huru katika masuala ya kidini.
 
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories

Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini

Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time


Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho

Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam

Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa

Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii

Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania

Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
Mbona huku Brella Hatuoni maombi?
 
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories

Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini

Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time


Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho

Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam

Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa

Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii

Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania

Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
Pamoja tutafika
 
The perfect atheist haiwezi kuishi kwe
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories

Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini

Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time


Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho

Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam

Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa

Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii

Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania

Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
The perfect atheist haiwezi kuishi sayari hii

Ukiishi humu lazima utakuwa na traits za ukristo bila kupenda au kujua
 
Back
Top Bottom