whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Wazo la kukutana ni gumu kidogo kwa nchi yetu, labda hukuhuku tuchangie mawazo inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja namimi ntakua mjumbeWadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories
Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini
Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time
Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho
Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam
Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa
Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii
Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania
Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories
Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu vya hovyo hasa imani potofu na wachungaji kuwadanganya waumini
Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho ya hovyo yanachochea fujo most of the time
Nina mpango wa kuanzisha atheist society tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho
Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam
Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha ina panda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ujinga wa ukristo wa uislam....ili taifa liondokane na huu utumwa
Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye matiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society hiii
Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist tanzania
Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo
Salman RushdieAshampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.
Hakuna.
Nakushauri mada kama hizi uwe unakaa kimya,nenda kawarubuni wapumbafu na wajinga wenzio katika imani yao.Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.
Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.
Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.
Wapagani ni wachache sana Tanzania.
Hili mosi.
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.
Hakuna.
Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.
Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.
Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.
Katika Upagani Tanzania hakuna watu.
Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.
Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."
Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.
Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.
Wote ni sawa.
Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Acha kumtisha wafua dini hii nchi wachachd sana wengi ni wapumbafu tu waliojaa double standardsNakushauri achana kabisa na hilo wazo, nchi hii bado haijafika huko, unaweza kuwa unajihatarishia usalama wako tu na mambo yako kutoka kwa wafia dini.
Sio kweli....Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.
Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.
Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.
Wapagani ni wachache sana Tanzania.
Hili mosi.
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.
Hakuna.
Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.
Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.
Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.
Katika Upagani Tanzania hakuna watu.
Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.
Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."
Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.
Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.
Wote ni sawa.
Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Usiwaponze wenzako, Wafia dini ndio wameishikilia na kuiongoza nchi hii kila sekta, suala la double standards ni mjadala mwingine.Acha kumtisha wafua dini hii nchi wachachd sana wengi ni wapumbafu tu waliojaa double standards
Scars...Sio kweli....
Pagan ni neno lililotumiwa na wakristo wa mwanzoni mwa karne ya 4, lilitumika kuwaita Warumi ambao walikuwa wanaabudu Mungu zaidi ya mmoja (polytheism)
Nilikuwa nafikiria tu kama kitu kidogo kama hiki umeshindwa kukielewa, vipi kuhusu maswala complex kama uhuru wa Tanganyika?
Tunaweza vipi kujihakikishia kuhusu uhalali wa makala zako za historia ya uhuru kuwa ni reliable na sio kwamba ni mwendelezo ule ule wa tatizo lako la kutokuelewa vizuri mambo?
Kwanza kabisa, wasioamini Mungu si wapagani. Kuna wapagani wengi wanaamini Mungu.Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.
Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.
Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.
Wapagani ni wachache sana Tanzania.
Hili mosi.
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.
Hakuna.
Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.
Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.
Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.
Katika Upagani Tanzania hakuna watu.
Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.
Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."
Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.
Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.
Wote ni sawa.
Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Kuna Tanzania Atheist Society. Ila haijapata formal registration. Kuna umuhimu wa kuwa wawazi, angalau hiyo registratiin na intent iwe wazi, secret society haitasaidia sana na itaongeza persecution.Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20, sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact, scientific theories.
Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu potofu na wachungaji kuwadanganya waumini.
Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho yanachochea fujo most of the time.
Nina mpango wa kuanzisha atheist society Tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho.
Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam.
Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha inapanda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ukristo wala uislam ili taifa liondokane na huu utumwa.
Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye mantiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society.
Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist Tanzania.
Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo.
Ipo wapi hiyo tuunge mkonoKuna Tanzania Atheist Society. Ila haijapata formal registration. Kuna umuhimu wa kuwa wawazi, angalau hiyo registratiin na intent iwe wazi, secret society haitasaidia sana na itaongeza persecution.
Ukitaka kuepuka kubishiwa basi hakikisha kile ulichoandika kinakuwa ni cha kweli.Scars...
Mimi sipendi kubishana.
Hupenda kufanya mjadala ili nami nijifunze kwa wengine.
Si lazima uamini niandikayo.
Wewe ni mtu mmoja.
Nimeandika vitabu na paper nyingi.
Watu wengi wananisoma na kuniamini.
Nikukumbushe kanisa limejenga shule nyingi kabla hata ya uhuru hata leo wana-shule nyingiWadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20, sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact, scientific theories.
Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi na watu kuamini vitu potofu na wachungaji kuwadanganya waumini.
Waislam wao muda wote kuwaza fujo na kuhisi wanaonewa na kuwa mafundisho yanachochea fujo most of the time.
Nina mpango wa kuanzisha atheist society Tanzania itayowakutanisha wanasayansi wa nchi hiii wasomi walio elimika wanahistoria walio elimika na kujua kuwa mambo sijui ya MUNGU ni uongo na hakuna kitu kama hicho.
Kutoka na nature ya nchi atheist society hii itabid iwe ya siri sana atleast atheist wa nchi hii wawe wanakutana atleast kushare ideas na jinsi ya kusaidia taifa kuondoka na imani pofotu zitokanazo na ukristo pamoja na uislam.
Society hiii pia itahusika kuhakikisha inapata inakuwa na ushawahishi wa siri kuhakikisha inapanda viongozi kitaifa ambao watukuwa hawaamini ukristo wala uislam ili taifa liondokane na huu utumwa.
Society hii itakuwa sehemu kuwa atheist kushare idea mbalimbali zenye mantiki pia kutoa misaada kwa watoto wanaofanya vizuri kwenye masomo ya sayansi na mengineo kimya kimya ili kuwaanda waje kuwa member wa Society.
Jambo la msingi la society inahitaji fund ambapo mimi kama mimi kama nikiishandaa mpango kazi wa society hii nitachangia million 10 kufanyakisha mkutano wa kwanza wa atheist Tanzania.
Asanteni kama wewe ni atheist unaweza changia hoja au mawazo.
TANU chama cha waislamuAshampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.
Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.
Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.
Wapagani ni wachache sana Tanzania.
Hili mosi.
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.
Hakuna.
Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.
Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.
Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.
Katika Upagani Tanzania hakuna watu.
Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.
Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."
Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.
Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.
Wote ni sawa.
Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya upagani na watu wasio amini uwepo wa Mungu na shetani.Ashampoo...
Nakuomba ruhusa uniruhusu mimi Muislam nichangie.
Nakuomba ruhusa kwa sababu umesema asiyeamini Mungu ndiye ashiriki mjadala huu.
Kwanza napenda kukutahadharisha kuwa ikiwa unataka Wapagani peke yao wachangie huu mjadala utakufa hata kabla ya kuanza.
Wapagani ni wachache sana Tanzania.
Hili mosi.
Pili uzoefu unaonyesha kuwa wengi wanaojiita Wapagani kabla walikuwa Wakristo.
Huwezi kumpata Muislam aliyemwamini Mungu akakengeuka na kumkana Allah.
Hakuna.
Huo mkusanyajiko wako utakuwa wa watu ambao zamani walikuwa Wakristo.
Tatu na hili ndiyo msingi wa fikra zako ni kuwa unakusudia kuanzisha chama cha Wapagani.
Kuna mambo lazima yawepo kwanza ili watu wawe wamoja na kuunda chama cha siasa.
Katika Upagani Tanzania hakuna watu.
Huwezi kufanya hayo utakayo mahali patupu.
Mwisho hapana haja ya kutukana dini na kuita "ujinga."
Ikatae dini bila kutukana kwani dini ni jambo la khiyari na katiba ya Tanzania inalinda hilo.
Muislam au Mkristo hana haki zaidi dhidi ya Mpagani.
Wote ni sawa.
Soma historia iliyo jirani sana na wewe historia ya TANU kuna mengi utajifunza.