Pre GE2025 Chama Gani kina sera za kueleweka kuelekea 2024/2025

Pre GE2025 Chama Gani kina sera za kueleweka kuelekea 2024/2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanini hutengenezwa sera ambazo hazina muelekeo yaani sera ambazo hazina tija je wabunge huwa wanayajua madhara ya sera wanazo zopitisha? Kwa hapo baadae
Sasa haya mambo ya kujua au kutokujua Ina mkanganyiko Sana.

Mule Bungeni kumesheheni wasomi wengi Sana... Kwa nini wanapitisha hizo sera, ni suala la kujiuliza.
 
Sasa haya mambo ya kujua au kutokujua Ina mkanganyiko Sana.

Mule Bungeni kumesheheni wasomi wengi Sana... Kwa nini wanapitisha hizo sera, ni suala la kujiuliza.
Na Ndiyo msingi wa kuuliza, kwanini wanapitisha sera ambazo hazina tija wakati mwingine hazitekelezeki kwavile wanaitumia Sheria za zamani, swali fikirishi kwanini watu tunao wapa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi
 
Ndio, kwa Tanzania vyama havina sera ni maamuzi ya mtu mmoja, hata Upinzani ni hivyo hivyo,
Hio inaitwa ufalme au monarchy ila hata hio mfalme hajiamulii kuna miiko ambayo hawezi kuivunja
Kufungulia nchi ndio kulifanya hata baba zako wakawa wanamudu kununua sabauni, walikuwa hawawezi
Kununua sababu kwamba walikuwa hawana pesa kabla ya kufungulia nchi au kulikuwa hakuna sababu kwamba viwanda vya ndani (vilivyokuwepo) havikutosheleza lakini kosa lililofanyika ni kuwa Mercantilism i.e. protectionists jambo ambalo sasa hivi wanafanya USA na EU dhini ya China..., Mimi nikiwa mdau wa globalism nakubaliana na Adam Smith...., It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy... Hapo key word what will cost him more na sio kwamba kila kitu umpe mtu afanye kwa minajili / mgongo wa kufungulia nchi huo ni uzwazwa....
Tanzania haina uspesho wowote, ni nchi yenye rasilimali ghafi nyingi, lakini haiwezi kuzivuna kwa tija kama nchi nyingi za Afrika zilivyo
And why is that ? sababu ya marginalization and mental slavely au sababu hawafungulii nchi ?
Unahitaji sera friendly kwa uwekezaji wafanye uzalishaji wenye ufanisi na kukuza pato la nchi na kukuza ajira
and is that happening now ? na mbaya zaidi hiki ni kipindi cha automation na technology nguvu kazi sio deal tena kwahio usitegemee uwekezaji utakuwa directly proportional na ajira pili privatization usiifanye kwenye commanding heights of the country economy au vitu ambavyo ni huduma jambo ambalo walifanya Uingereza na leo wanajuta au nchi nyingine zinarudi kwenye renationalization..


au unadhani kwanini privatisation inafanya kazi ? na je inaweza kufanya kazi bila competition ?


Vitu vya maana unavyoviona nchi hii, kama benki kubwa, mitandoa mikubwa ya simu, ni matunda ya uwekezaji sio utopia za kujifungia
Hapa ngoja nikukumbushe maneno aliyouliza Nyerere.... can NBC open a Branch in New York ?!!!

View: https://youtu.be/wYP_nfGVxwo?si=7BzhJU0m7-3Q_hHv

Na badala ya kusema tuuze TTCL kwanini tusijiulize kwanini isiende mpaka huko South America kama Halotel ilivyoweza kuja huku....

1718288991309.png
 
Kwa mfano chama gani kina sera nzuri kuhusu:

1. Uhifadhi wa mazingira

2. Ajira

3. Haki za jamii

4. Mahusiano ya kimataifa

5. uchumi

6. Ustawi wa jamii

7. Ulinzi na usalama wa nchi

8. michezo na burudani

9. Nishati.
Chama Cha Mapinduzi Pekee 🐒
 
Kwa bahati mbaya Afrika umaskini, maradhi na ujinga ni mkubwa kiasi kwamba waafrika tumeachwa hoi tumetopea kwenye ugiligili wa shida zetu hata kushindwa kuwa na vipaumbele vyetu.

Mwaka huu kutakuwa na uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwakani uchaguzi wa madiwani, wabunge na Rais.

Hivi mpaka Sasa kama watanzania tumeshajua ni chama gani kina sera nzuri za kutatua matatizo yetu tuliyonayo kwa kupambana na maadui zetu watatu Ujinga, Maradhi na Umaskini!?
Chama Cha Mapinduzi Pekee 🐒
 
CCM hii ambayo haijulikani inafuata UJAMAA ama UBEPARI!??
CCM Chama Tawala, sio hicho unacho babaikaka kukipaint sijui nini na nin 🐒

halafu,
hebu tushirikishe basi hicho chama chenye sera nzuri za kueleweka ?🐒

usione aibu 🐒
 
Hio inaitwa ufalme au monarchy ila hata hio mfalme hajiamulii kuna miiko ambayo hawezi kuivunja

Kununua sababu kwamba walikuwa hawana pesa kabla ya kufungulia nchi au kulikuwa hakuna sababu kwamba viwanda vya ndani (vilivyokuwepo) havikutosheleza lakini kosa lililofanyika ni kuwa Mercantilism i.e. protectionists jambo ambalo sasa hivi wanafanya USA na EU dhini ya China..., Mimi nikiwa mdau wa globalism nakubaliana na Adam Smith...., It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy... Hapo key word what will cost him more na sio kwamba kila kitu umpe mtu afanye kwa minajili / mgongo wa kufungulia nchi huo ni uzwazwa....

And why is that ? sababu ya marginalization and mental slavely au sababu hawafungulii nchi ?

and is that happening now ? na mbaya zaidi hiki ni kipindi cha automation na technology nguvu kazi sio deal tena kwahio usitegemee uwekezaji utakuwa directly proportional na ajira pili privatization usiifanye kwenye commanding heights of the country economy au vitu ambavyo ni huduma jambo ambalo walifanya Uingereza na leo wanajuta au nchi nyingine zinarudi kwenye renationalization..


au unadhani kwanini privatisation inafanya kazi ? na je inaweza kufanya kazi bila competition ?



Hapa ngoja nikukumbushe maneno aliyouliza Nyerere.... can NBC open a Branch in New York ?!!!

View: https://youtu.be/wYP_nfGVxwo?si=7BzhJU0m7-3Q_hHv

Na badala ya kusema tuuze TTCL kwanini tusijiulize kwanini isiende mpaka huko South America kama Halotel ilivyoweza kuja huku....

View attachment 3016528

Mzee umeandika essay ndefu sana ambayo ni nadharia na utopia tu

Uhalisia ni kuwa Watu weusi akili hawana, na hivyo Africa inahitaji uwekezaji ili kuendelea, nchi zilizoendelea kidogo huku sub Sahara Africa ni kutokana na uwekezaji wa raia wa nje, either walowezi wa tangia miaka au wa kuja miaka ya karibuni

Africa Wanaoendesha biashara za maana ni Wahindi, Waarabu, Wazungu na weusi wachache

Unaweza kuendelea kuandika essay zako ama ukameza huo uhalisia mchungu
 
Mzee umeandika essay ndefu sana ambayo ni nadharia na utopia tu

Uhalisia ni kuwa Watu weusi akili hawana, na hivyo Africa inahitaji uwekezaji ili kuendelea, nchi zilizoendelea kidogo huku sub Sahara Africa ni kutokana na uwekezaji wa raia wa nje, either walowezi wa tangia miaka au wa kuja miaka ya karibuni
Nadhani sio makosa yako, either sio mfuatiliaji wa historia kuhusu Africa au una belong kwenye zama za Eugenics ambazo waliamini kwamba akili inatokana na genes na waafrika wote ni inferior

Dunia ya leo ni ya corporations na corporations haziangalii rangi ya ngozi bali zinaangalia wapi zinaweza kupata maximum profits ndio maana kina Apple wana viwanda China na wala hawaangalii nationality ya mtu, by the way unamjua Manka Kankan Mussa aliyekuwa one of the wealthiest man in the world alikuwa race gani ?
Africa Wanaoendesha biashara za maana ni Wahindi, Waarabu, Wazungu na weusi wachache

Unaweza kuendelea kuandika essay zako ama ukameza huo uhalisia mchungu
kwamba wahindi, waarabu na wazungu hawawezi kuwa waafrica na akili zipo kwenye melanin; au kufanya biashara na kuwa trader ndio akili na all other skills dunia hii ni upumbavu ?

Yaani kukujibu kwako ningeweza kuja na facts na mifano lukuki zaidi ya kurasa elfu moja lakini nikwambie tu unahitaji emancipation kutoka kwenye mental slavery na nikuache na mfano mmoja unajua aliyegundua vaccination alikuwa ni mtumwa mweusi au ufuaji wa vyuma ulikuwepo sehemu nyingi katika bara la Africa hata kabla ya kuvamiwa ? Necessity is the mother of all invention na dunia ya leo unayoweza kufanya copy and paste huitaji kuwa mgunduzi bali mtu wa ku-adapt na kinachoisumbua Africa ni umimi, corruption na watu kama wewe wasiojiamini na kudhani wamelaaniwa hivyo ni watwana wa mabwana ambao ni wazungu....
 
Kwa bahati mbaya Afrika umaskini, maradhi na ujinga ni mkubwa kiasi kwamba waafrika tumeachwa hoi tumetopea kwenye ugiligili wa shida zetu hata kushindwa kuwa na vipaumbele vyetu.

Mwaka huu kutakuwa na uchaguzi wa Serikali za mitaa na mwakani uchaguzi wa madiwani, wabunge na Rais.

Hivi mpaka Sasa kama watanzania tumeshajua ni chama gani kina sera nzuri za kutatua matatizo yetu tuliyonayo kwa kupambana na maadui zetu watatu Ujinga, Maradhi na Umaskini!?
Kwa Sasa sera sio zinazotoa viongozi, bali uongozi unatolewa kwa maagizo ya kundi linalojiita system. Labda yatokee machafuko au mapinduzi ya kijeshi Ili nchi irudi kwenye mstari.
 
Nadhani sio makosa yako, either sio mfuatiliaji wa historia kuhusu Africa au una belong kwenye zama za Eugenics ambazo waliamini kwamba akili inatokana na genes na waafrika wote ni inferior

Dunia ya leo ni ya corporations na corporations haziangalii rangi ya ngozi bali zinaangalia wapi zinaweza kupata maximum profits ndio maana kina Apple wana viwanda China na wala hawaangalii nationality ya mtu, by the way unamjua Manka Kankan Mussa aliyekuwa one of the wealthiest man in the world alikuwa race gani ?

kwamba wahindi, waarabu na wazungu hawawezi kuwa waafrica na akili zipo kwenye melanin; au kufanya biashara na kuwa trader ndio akili na all other skills dunia hii ni upumbavu ?

Yaani kukujibu kwako ningeweza kuja na facts na mifano lukuki zaidi ya kurasa elfu moja lakini nikwambie tu unahitaji emancipation kutoka kwenye mental slavery na nikuache na mfano mmoja unajua aliyegundua vaccination alikuwa ni mtumwa mweusi au ufuaji wa vyuma ulikuwepo sehemu nyingi katika bara la Africa hata kabla ya kuvamiwa ? Necessity is the mother of all invention na dunia ya leo unayoweza kufanya copy and paste huitaji kuwa mgunduzi bali mtu wa ku-adapt na kinachoisumbua Africa ni umimi, corruption na watu kama wewe wasiojiamini na kudhani wamelaaniwa hivyo ni watwana wa mabwana ambao ni wazungu....
Hata sijasoma, Nimekupuuza,
 
Back
Top Bottom