THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.
Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.
Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.
Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.
Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.
#DOMINIKA NJEMA
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.
Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.
Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.
Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.
Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.
#DOMINIKA NJEMA