CHAMA hana msaada tena kwa timu ya Simba

CHAMA hana msaada tena kwa timu ya Simba

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.

Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.

Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.

Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.

Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.

#DOMINIKA NJEMA
 
Wydad iliyofungwa hadi na Galaxy nyumbani kwao? Au Wydad ipi?
Wydad anbao baada ya kufungwa kwenye African football league, wamecheza michezo minne na kushinda mechi moja tu? Mpira ni mchezo wa wazi mpira wa Wydad umeporomoka mno.
 
Wydad iliyofungwa hadi na Galaxy nyumbani kwao? Au Wydad ipi?
Wydad anbao baada ya kufungwa kwenye African football league, wamecheza michezo minne na kushinda mechi moja tu? Mpira ni mpira wa wazi mpira wa Wydad umeporomoka mno.
Lakini kawafunga simba si ndio?
 
Robertino alisema chama hayupo kwenye mfumo wake na akawa hamtumii Heeeeee mashabiki waliongea balaa. Ikahitimishwa kuwa kama chama hayupo kwenye mfumo wa Robertino basi Robertino abadili mfumo ili aingie kwenye mfumo wa chama!

Ila simba kuna mashabiki maandazi asee
 
Robertino alisema chama hayupo kwenye mfumo wake na akawa hamtumii Heeeeee mashabiki waliongea balaa. Ikahitimishwa kuwa kama chama hayupo kwenye mfumo wa Robertino basi Robertino abadili mfumo ili aingie kwenye mfumo wa chama!

Ila simba kuna mashabiki maandazi asee
Chama,baleke,saidoo,bocco, etc,

Hawastahili kuwepo simba
 
Ukweli usemwe kwamba Onana na Chama wote ni wapuuzi, jumlisha Miquissone na wajinga wajinga wengine.

Halafu ukiachana na issue ya Chama, Simba karibia yote kule mbele ilikuwa hovyo mno. Kibu hajawa Kibu tuliyemzoea, Ile penati aliyosababisha hata Ahmed Ally asingeisababisha, alicheza kijinga mno pale. Haya, Jean Baleke alikuwa na maajabu gani kule mbele?
 
Chama ana misimu zaidi ya 4 simba, kwa brain kubwa ya chama Simba ndio ilipata njia ya kuanza kucheza hizi hatua za makundi na robo fainal... Ili Simba icheze vizuri inahitaji chama awe na watu wenye akili kubwa ya mpira Kama yake yenye utulivu na kucheza kitimu!.
Nakupa misimu 3 ya chama akiwa amezungukwa na wachezaji wenye big brain Kama yake, Simba ilifanya vizuri na ilikuwa ya Moto chama akiwa amezungukwa na KAHATA, LALY BWALYA, LUIS MIQUISONE (3 LEFT FOOTETRs) wakati huo DM akiwa mkude/Fraga/Thadeo. Wakati huo juu kulikuwa na finisher Adebayor wa bongo JOHN BOCCO. Simba ilishinda mechi mbele ya timu yoyote....

Simba ya saizi anagalia wachezaji wanaomzunguka chama Kama wanaendana nae... Kibu D miguvu akili kidogo, kanoute/mzamilu nguvu nyingi akili kidogo, Saido anacheza as individual sio Kama timu,onana mpira wa umiseta ...... Chama bado ni mchezaji mzuri sanaaaa kwa Simba hii na yanga anaingia kikosi chochote.
 
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.

Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.

Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.

Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.

Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.

#DOMINIKA NJEMA
vp zile slogan za kocha aingie kwenye mfumo wa chama ziliishiaga
 
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.

Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.

Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.

Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.

Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.

#DOMINIKA NJEMA
Yaani mpaka mthemee..!!
 
Wydad iliyofungwa hadi na Galaxy nyumbani kwao? Au Wydad ipi?
Wydad anbao baada ya kufungwa kwenye African football league, wamecheza michezo minne na kushinda mechi moja tu? Mpira ni mpira wa wazi mpira wa Wydad umeporomoka mno.
1702197939159.png
 
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.

Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.

Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.

Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.

Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.

#DOMINIKA NJEMA
Mimi nikajua unasema Miqsone
 
Back
Top Bottom