CHAMA hana msaada tena kwa timu ya Simba

CHAMA hana msaada tena kwa timu ya Simba

Robertino alisema chama hayupo kwenye mfumo wake na akawa hamtumii Heeeeee mashabiki waliongea balaa. Ikahitimishwa kuwa kama chama hayupo kwenye mfumo wa Robertino basi Robertino abadili mfumo ili aingie kwenye mfumo wa chama!

Ila simba kuna mashabiki maandazi asee
Tena Andazi la 100 kabisa
 
Chama ana misimu zaidi ya 4 simba, kwa brain kubwa ya chama Simba ndio ilipata njia ya kuanza kucheza hizi hatua za makundi na robo fainal... Ili Simba icheze vizuri inahitaji chama awe na watu wenye akili kubwa ya mpira Kama yake yenye utulivu na kucheza kitimu!.
Nakupa misimu 3 ya chama akiwa amezungukwa na wachezaji wenye big brain Kama yake, Simba ilifanya vizuri na ilikuwa ya Moto chama akiwa amezungukwa na KAHATA, LALY BWALYA, LUIS MIQUISONE (3 LEFT FOOTETRs) wakati huo DM akiwa mkude/Fraga/Thadeo. Wakati huo juu kulikuwa na finisher Adebayor wa bongo JOHN BOCCO. Simba ilishinda mechi mbele ya timu yoyote....

Simba ya saizi anagalia wachezaji wanaomzunguka chama Kama wanaendana nae... Kibu D miguvu akili kidogo, kanoute/mzamilu nguvu nyingi akili kidogo, Saido anacheza as individual sio Kama timu,onana mpira wa umiseta ...... Chama bado ni mchezaji mzuri sanaaaa kwa Simba hii na yanga anaingia kikosi chochote.
Ataingia Yanga kama kocha ni wewe
 
Ataingia Yanga kama kocha ni wewe
Kwa timu ambayo haitumii nguvu na kukamia Kama Simba hii, basi chama ni mchezaji mwenye nafasi kubwa na anakupa 85_90% ya utulivu wa timu huku mipango ikiwa sahihi eneo la ushambuliaji!. Huyu Benchikha anawadanganya na nguvu za soda za pira mbio za mwenge 😅😅 kufika may mtamkataa.... HAKUNA mwenye akili timamu akakubali chama akae benchi mbele ya onana au Ntibazokiza....!!
 
Kwahiyo una msonda, mzize,moloko, Azizi unaweza kuweka benchi chama kabisa🤭🤭 heshim mpira Basi asee.
Nikuulize Chama anacheza Namba ya Msonda au mzize au unaangalia tu wachezaji 11?
Mpira unachezwa kwa namba na sio watu 11 tu ili mradi
 
Nikuulize Chama anacheza Namba ya Msonda au mzize au unaangalia tu wachezaji 11?
Mpira unachezwa kwa namba na sio watu 11 tu ili mradi
Msonda kiungo mshambuliaji sawa na chama, mzize hata kama ancheza namba 9 kukiwa na chama atacheza yeye!. Kiufupi hawawezi kumuweka benchi chama Kamwe.
 
Kwangu mimi naona Chama bado ni msaada sana kwa Simba kwani akili zake za mpira bado zinahitajika sana uwanjani kubadilisha matokeo japo mwili taratibu umeanza kukataa. Kwa umri wa Chama ulipofika na dakika anazopewa uwanjani ni sahihi kabisa na kwa hili kocha apongezwe.

Hii ya kulazimisha Chama acheze dakika nyingi kama ilivyokuwa miaka tatu nyuma ni kutaka Chama apotee mazima mapema kama alivyolazimishwa Boko awe anacheza dakika nyingi uwanjani wakati umri umeenda matokeo yake Boko sasa ameanza kupotea mazima. Kwa viongozi wa Simba inatakiwa watafute mbadala wa Chama haraka kwani wamechelewa ilitakiwa ameshaptikana toka msimu ulioisha.
 
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.

Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.

Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.

Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.

Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.

#DOMINIKA NJEMA
Na vipi kuhusu Kibu Denis?
 
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.

Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.

Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.

Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.

Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.

#DOMINIKA NJEMA

Na hata katika Timu ya Taifa Zambia huwa anaingia sub tena ya karibu mpira unaelekea kumalizika! Kocha Avram Grant hawezi kumuingiza kwenye first 11 hata siku moja!
 
Chama ana misimu zaidi ya 4 simba, kwa brain kubwa ya chama Simba ndio ilipata njia ya kuanza kucheza hizi hatua za makundi na robo fainal... Ili Simba icheze vizuri inahitaji chama awe na watu wenye akili kubwa ya mpira Kama yake yenye utulivu na kucheza kitimu!.
Nakupa misimu 3 ya chama akiwa amezungukwa na wachezaji wenye big brain Kama yake, Simba ilifanya vizuri na ilikuwa ya Moto chama akiwa amezungukwa na KAHATA, LALY BWALYA, LUIS MIQUISONE (3 LEFT FOOTETRs) wakati huo DM akiwa mkude/Fraga/Thadeo. Wakati huo juu kulikuwa na finisher Adebayor wa bongo JOHN BOCCO. Simba ilishinda mechi mbele ya timu yoyote....

Simba ya saizi anagalia wachezaji wanaomzunguka chama Kama wanaendana nae... Kibu D miguvu akili kidogo, kanoute/mzamilu nguvu nyingi akili kidogo, Saido anacheza as individual sio Kama timu,onana mpira wa umiseta ...... Chama bado ni mchezaji mzuri sanaaaa kwa Simba hii na yanga anaingia kikosi chochote.
Mbona unaongea kama alifanya hisani vile?
Ni wajibu sio msaada.
 
Back
Top Bottom