Chama ana misimu zaidi ya 4 simba, kwa brain kubwa ya chama Simba ndio ilipata njia ya kuanza kucheza hizi hatua za makundi na robo fainal... Ili Simba icheze vizuri inahitaji chama awe na watu wenye akili kubwa ya mpira Kama yake yenye utulivu na kucheza kitimu!.
Nakupa misimu 3 ya chama akiwa amezungukwa na wachezaji wenye big brain Kama yake, Simba ilifanya vizuri na ilikuwa ya Moto chama akiwa amezungukwa na KAHATA, LALY BWALYA, LUIS MIQUISONE (3 LEFT FOOTETRs) wakati huo DM akiwa mkude/Fraga/Thadeo. Wakati huo juu kulikuwa na finisher Adebayor wa bongo JOHN BOCCO. Simba ilishinda mechi mbele ya timu yoyote....
Simba ya saizi anagalia wachezaji wanaomzunguka chama Kama wanaendana nae... Kibu D miguvu akili kidogo, kanoute/mzamilu nguvu nyingi akili kidogo, Saido anacheza as individual sio Kama timu,onana mpira wa umiseta ...... Chama bado ni mchezaji mzuri sanaaaa kwa Simba hii na yanga anaingia kikosi chochote.