granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
onana hamna kitu pale, hata kama hakuumia ila bado ni galasa, mtoeni hata kwa mkopo, anakula tu mshahara wa bure.Kwanza uelewe kuwa Onana aliumia ndiyo maana alifanyiwa Sub... na kocha alionekana kumuuliza "What's wrong"...
Tena Andazi la 100 kabisaRobertino alisema chama hayupo kwenye mfumo wake na akawa hamtumii Heeeeee mashabiki waliongea balaa. Ikahitimishwa kuwa kama chama hayupo kwenye mfumo wa Robertino basi Robertino abadili mfumo ili aingie kwenye mfumo wa chama!
Ila simba kuna mashabiki maandazi asee
Naona hata wao saiv wataacha mambumbu hawavp zile slogan za kocha aingie kwenye mfumo wa chama ziliishiaga
Ataingia Yanga kama kocha ni weweChama ana misimu zaidi ya 4 simba, kwa brain kubwa ya chama Simba ndio ilipata njia ya kuanza kucheza hizi hatua za makundi na robo fainal... Ili Simba icheze vizuri inahitaji chama awe na watu wenye akili kubwa ya mpira Kama yake yenye utulivu na kucheza kitimu!.
Nakupa misimu 3 ya chama akiwa amezungukwa na wachezaji wenye big brain Kama yake, Simba ilifanya vizuri na ilikuwa ya Moto chama akiwa amezungukwa na KAHATA, LALY BWALYA, LUIS MIQUISONE (3 LEFT FOOTETRs) wakati huo DM akiwa mkude/Fraga/Thadeo. Wakati huo juu kulikuwa na finisher Adebayor wa bongo JOHN BOCCO. Simba ilishinda mechi mbele ya timu yoyote....
Simba ya saizi anagalia wachezaji wanaomzunguka chama Kama wanaendana nae... Kibu D miguvu akili kidogo, kanoute/mzamilu nguvu nyingi akili kidogo, Saido anacheza as individual sio Kama timu,onana mpira wa umiseta ...... Chama bado ni mchezaji mzuri sanaaaa kwa Simba hii na yanga anaingia kikosi chochote.
Kwahio Sub ya Onanq lazimailikua awe Chama?Sijui mleta mada alitaka kocha afanyeje.
Done kabisachama yanga hapati namba.
Kwa timu ambayo haitumii nguvu na kukamia Kama Simba hii, basi chama ni mchezaji mwenye nafasi kubwa na anakupa 85_90% ya utulivu wa timu huku mipango ikiwa sahihi eneo la ushambuliaji!. Huyu Benchikha anawadanganya na nguvu za soda za pira mbio za mwenge 😅😅 kufika may mtamkataa.... HAKUNA mwenye akili timamu akakubali chama akae benchi mbele ya onana au Ntibazokiza....!!Ataingia Yanga kama kocha ni wewe
Kwahiyo una msonda, mzize,moloko, Azizi unaweza kuweka benchi chama kabisa🤭🤭 heshim mpira Basi asee.Ataingia Yanga kama kocha ni wewe
Nikuulize Chama anacheza Namba ya Msonda au mzize au unaangalia tu wachezaji 11?Kwahiyo una msonda, mzize,moloko, Azizi unaweza kuweka benchi chama kabisa🤭🤭 heshim mpira Basi asee.
Hii Team ina wastaaf wengi mno"Chama,baleke,saidoo,bocco, etc"
[emoji109][emoji109]
Msonda kiungo mshambuliaji sawa na chama, mzize hata kama ancheza namba 9 kukiwa na chama atacheza yeye!. Kiufupi hawawezi kumuweka benchi chama Kamwe.Nikuulize Chama anacheza Namba ya Msonda au mzize au unaangalia tu wachezaji 11?
Mpira unachezwa kwa namba na sio watu 11 tu ili mradi
Ni kweli kaka, Chama ndiye aliyewapeleka hatua ya makundi.Kila mtu kocha Ila mmesahau Chama hiyohiyo mnayemponda ndio amechangia Simba kuingia makundi, mpaka kocha amwelewe chama ndio mtaona uwezo wake
Yale wanayokula watoto wa primary schools.Tena Andazi la 100 kabisa
Na vipi kuhusu Kibu Denis?Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.
Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.
Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.
Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.
Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.
#DOMINIKA NJEMA
Habari za Jumapili wanajukwaa.
Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua Soka La Bongo Limekua.
Tusilete porojo eti Wydad wabovu au Al Ahly kutoa Sare na Yanga basi Ahly wabovu hapan soko letu limekua na Team hizi zimewekeza Kweli kweli.
Ila kitu nachotaka kukiongelea hapa ni Role ya Chama pale UNYAMANI,Huyu jamaa huenda Mashabiki wa Simba wataanza kukubaliana na Zoran aliesema Chama hafai na wakampigia kelele,akafata Robetinho akawa anampiga Sub wakapiga Kelele,
Saiv Benchika anafanya hivohivo anampiga Bench inaonyesha Kua kweli Chama sio Material ya simba ila Simba na mashabiki zao MBUMBU ndio wana force wao simba wawe Material ya CHAMA.
Kwa walio angalia Match ya Jana moja Ya Sub iliyoharibu game ya Simba ni ile Kumtoa ONANA na kumuingiza CHAMA.
Ukweli baada ya Chama kuingia simba ikawa na defensive mind zaidi ikawa inapoteza mipira zaid pale mbele Chama sio mzuiaji ila kwa game yake anavyochezaga ni mfumo wakujilinda sana coz mipira mingi ilianza kurudi nyuma sana na Chama akawa hana speed pia akawa hawez ku hold mpira anapokonywa mali inaenda.
Mwisho Kukataliwa na Walimu wa 3 inadhihirisha Chama sio Material yenu ila kwa umbumbu wenu ndio mnalazimisha mukae kwenye mfumo wa Chama.
#DOMINIKA NJEMA
Mbona unaongea kama alifanya hisani vile?Chama ana misimu zaidi ya 4 simba, kwa brain kubwa ya chama Simba ndio ilipata njia ya kuanza kucheza hizi hatua za makundi na robo fainal... Ili Simba icheze vizuri inahitaji chama awe na watu wenye akili kubwa ya mpira Kama yake yenye utulivu na kucheza kitimu!.
Nakupa misimu 3 ya chama akiwa amezungukwa na wachezaji wenye big brain Kama yake, Simba ilifanya vizuri na ilikuwa ya Moto chama akiwa amezungukwa na KAHATA, LALY BWALYA, LUIS MIQUISONE (3 LEFT FOOTETRs) wakati huo DM akiwa mkude/Fraga/Thadeo. Wakati huo juu kulikuwa na finisher Adebayor wa bongo JOHN BOCCO. Simba ilishinda mechi mbele ya timu yoyote....
Simba ya saizi anagalia wachezaji wanaomzunguka chama Kama wanaendana nae... Kibu D miguvu akili kidogo, kanoute/mzamilu nguvu nyingi akili kidogo, Saido anacheza as individual sio Kama timu,onana mpira wa umiseta ...... Chama bado ni mchezaji mzuri sanaaaa kwa Simba hii na yanga anaingia kikosi chochote.