CHAMA hana msaada tena kwa timu ya Simba

Hakuna team serious itakuwa na mchezaji kama chama kwa sasa.
 
Enzi za Chama Kondeboy zimekwisha. Wa kulaumiwa ni viongozi wa Simba kuwauza hawa jamaa kwani kule uarabuni walienda kusugua bench na ndiyo mpira ulipoishia
 
Hakuna watu wanakera pale Simba kama
Mashabiki wa Phiri na Chama.
Hawa watu ndio mbumbumbu wenyewe sasa.
Na sio mda utawaona hapa.
Chama anazingua ila Phiri pale Simba ni Kila kitu, yule jamaa ni striker.
Dakika 80 zote baleke hajapiga hata shot 1 on target Kaz kuruka ruka tu. Phiri kaingia kaanza kujaribu hadi ya mbali
 
Chama anazingua ila Phiri pale Simba ni Kila kitu, yule jamaa ni striker.
Dakika 80 zote baleke hajapiga hata shot 1 on target Kaz kuruka ruka tu. Phiri kaingia kaanza kujaribu hadi ya mbali
Naona mmefika sasa mashabiki wa Phiri.
 
Chama anazingua ila Phiri pale Simba ni Kila kitu, yule jamaa ni striker.
Dakika 80 zote baleke hajapiga hata shot 1 on target Kaz kuruka ruka tu. Phiri kaingia kaanza kujaribu hadi ya mbali
Phiri alivyo ingira timu ilibadilika sana
 
Nakubaliana na wewe ingawa inatakiwa Chama aanze kipindi cha kwanza, yakishapatikana magoli ndio atolewe maana kipindi cha pili Simba huwa wanachoka sana.
 
Kwani hachoki au hazeeki.

Basi kina Ronaldinho wangeendelea kucheza mpk leo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…