Chama, Kibu na Mickson kama wako vizuri wacheze vs KMC, gemu ni ngumu sana hiyo viongozi wa Simba

Chama, Kibu na Mickson kama wako vizuri wacheze vs KMC, gemu ni ngumu sana hiyo viongozi wa Simba

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Michi vs KMC ni ngumu, ili tuwabamize mabao 5 ni lazima tuwenna quality players, Ile mechi ya Jana vs Geita angekuwepo Chama, Kibu ambaye alikuwa majeruhi na Mickson wangeweza kuibuka na hata mabao 6 jana, hawa akina Balua bado utoto na uchale mwingi, Jana kama Onana angeanza angalau na yule striker bwege Freddy Funga funga tungefika mbali kidogo, KMC ina kocha WA zamani wa Adam, Ina wachezaji weng wa Azam walio kwa mkopo, Simba waliangalie hili, wamewekewa mzigo pia wakitoa sare, kucheza na KMC ukiwa na akina Bakua na Jobe humfungi mtoto wa mjini
 
Ondoa hofu, kuna penati mbili na kuna kadi nyekundu kwanzia first half. Hivyo waamuzi watamaliza huo ugumu. Azam kapigwa bila hao wakina Chama tena chuma tatu sembuse KMC?
Mkuu hiyo mechi ni ngumu kweli siyo utani kulingana na Simba ya sasa..
 
Mkuu hiyo mechi ni ngumu kweli siyo utani kulingana na Simba ya sasa..
Hakuna ugumu wowote, TFF na serikali ipo na Simba ili mradi ifanikiwe kucheza klabu bingwa. Mechi ya jana ndio iliyokuwa ngumu kwavile Geita hawakutaka kushuka daraja. Ila ukombozi ukapatikana
 
Michi vs KMC ni ngumu, ili tuwabamize mabao 5 ni lazima tuwenna quality players, Ile mechi ya Jana vs Geita angekuwepo Chama, Kibu ambaye alikuwa majeruhi na Mickson wangeweza kuibuka na hata mabao 6 jana, hawa akina Balua bado utoto na uchale mwingi, Jana kama Onana angeanza angalau na yule striker bwege Freddy Funga funga tungefika mbali kidogo, KMC ina kocha WA zamani wa Adam, Ina wachezaji weng wa Azam walio kwa mkopo, Simba waliangalie hili, wamewekewa mzigo pia wakitoa sare, kucheza na KMC ukiwa na akina Bakua na Jobe humfungi mtoto wa mjini
Heeheeeeeeeee..... hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha. hahaaaaaaaaaaaa
 
Hakuna ugumu wowote, tumeshamalixzna na wacheza muhimu pamoja na marefa wa mchezo huo!
 
Michi vs KMC ni ngumu, ili tuwabamize mabao 5 ni lazima tuwenna quality players, Ile mechi ya Jana vs Geita angekuwepo Chama, Kibu ambaye alikuwa majeruhi na Mickson wangeweza kuibuka na hata mabao 6 jana, hawa akina Balua bado utoto na uchale mwingi, Jana kama Onana angeanza angalau na yule striker bwege Freddy Funga funga tungefika mbali kidogo, KMC ina kocha WA zamani wa Adam, Ina wachezaji weng wa Azam walio kwa mkopo, Simba waliangalie hili, wamewekewa mzigo pia wakitoa sare, kucheza na KMC ukiwa na akina Bakua na Jobe humfungi mtoto wa mjini
Kwani MCHAWI wa Simba wa MSIMBAZI GENTAMYCINE anasemaje?
 
Back
Top Bottom