Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Magufuli kafa ila bado Samia ana endeleza ule ule utamaduni wa chama kuiweka serikali chini yake.Hapana, haipaswi kuwa hivyo. Serikali inapaswa kuwahudumia wananchi wote bila kujali itikadi zao za kisiasa. Watumishi wa umma wanapaswa kutojihusisha na shughuli za kisiasa japo kila mmoja anaweza kuwa na mapenzi na chama fulani nk.
Hii inayofanywa na CCM hasa tangu kipindi cha Mwendazake ni uwendawazimu na ulimbukeni wa madaraka. Mf. Kumteua DED toka kwenye majukwaa ya kiasa, unadhani atatoa huduma sawa kwa wale wasio na mapenzi na chama chake? Ilifika wakati JPM anawahaidi rushwa ya vyeo kwenye campaign wale wote aliowaengua kwenye kura za maoni.
Yanayofanywa na Makonda ni muendelezo wa drama za enzi ya Magufuli. Hana uwezo wa kumwajibisha waziri au mtumishi yoyote wa umma. Kwa nchi ya mfumo wa vyama vingi hakuna chama kushika hatamu.
Wewe una tatizo na Magufuli