NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Jpm anamuogopa Lisu ndo mana anataka kuzigawa kura zake!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa torika ujeeKwa kadiri inavyotumika nguvu kubwa kuiua CHADEMA ndio hiki chama kinavyozidi kujikita mioyoni mwa Watanzania
Jr[emoji769]
Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilichojiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF.
Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billioni za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.
Kaniambia kwa mujibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Urais hadi Udiwani.
Na wao tayari wameishapewa Milion 100 za kujenga Chama na nyingine watapewa kadri siku zinavyoenda mbele.
Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja maana waliitwa kila mmoja kivyake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani usalama hawana marafiki? Na ,je wewe umejuaje ilo?Unjustifiable writing - ndani kule hakukuwa na officials zaidi ya Usalama (walinzi wa rais) - kupiga ramuli hakukusaidii badala yake jikiteni kwenye kuimarisha umoja wenu
Unachofanya ni kufitinisha wapinzani wenzako kitu ambacho hakikuongezei huruma
Mnachezea pesa ya walipa kodi halafu unasema hakuna shida!.Hapo hakuna shida kam pesa inaenda kukuza chama ili kiwe shindani, pia hiyo pesa itatumika hapa Tanzania na kuongeza mzunguko, wanufaika ni watanzania,
pia mkumbuke zamani kuna chama kilipokea pesa kutoka kwa wafadhili kina sabodo kikaua, ni muda sasa na NCCR nayo ikuwe, kinachotakiwa ni baada ya matokeo kama ilitumika vizuri na sio mifukoni kwa watu, kwa hiyo swala la kugawa kula ni hisani ya wananchi na siyo mawazo ya mtu mmoja.
mkuu thread zako zote ni tetesi, unajisikiaje lakini?
Huu upimbi uwe unawasimulia wakwenu huko kijijini wakati ukigongea ugimbi! Nonsense!CCM ndio chama pekee chenye Nia ya dhati ya kujenga demokrasia nchi na CCM kutumia mapato yake kutoka na vitega uchumi vyake ili kujenga demokrasia si jambo gumu.
Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa nilisema kuwa wapinzani walisusa kutokana na ukata na si kingine mkabisha leo Mbatia kathibitisha kikwazo Cha wapinzani kutofanya michakato ya kidemokrasia ni ukata.
Msione aibu kuomba msaada wa kifedha CCM ili kujenga vyama vyenu, CCM haina tatizo Kama pesa inazotoa zitajenga demokrasia ya kweli.
Rais Magufuli hawezi kutumia pesa za walipa Kodi kufanya kitu hicho.
Kwani zilizonunua ndege,kujenga Stiglers gorge na kiwanunua Wabunge & Madiwani ziliidhinishwa Bungeni?Sasa kaka hizo zimetolewana bunge gani? Siamini huu ujinga kuwa ni kweli.
KIKWETE NA MKAPA NDIO WALIO TULETEA HIKI KITUKO. NADHANI SASA WANA JUTALilikuwa ni kosa kubwa Sana huyu mtu kumpa madaraka makubwa hivi
Ni ujinga kweli kweli anaoufanya Jiwe.Sasa kaka hizo zimetolewana bunge gani? Siamini huu ujinga kuwa ni kweli.
Unauliza maswali gani au unaishi Norway.Sasa kaka hizo zimetolewana bunge gani? Siamini huu ujinga kuwa ni kweli.