Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza maswali gani au unaishi Norway.
Za ndege, uwanja wa ndege Chato na zile wanazonunulia wabunge/madiwani zenyewe zimeidhinishwa na bunge gani.
Ninaloweza kuweka hapa kwa uhakika kabisa ni kwamba, sioni kwa njia yoyote Maalim Seif akipewa kitita akagombee uRais Zanziba.Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilichojiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF.
Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billioni za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.
Kaniambia kwa mujibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Urais hadi Udiwani.
Na wao tayari wameishapewa Milion 100 za kujenga Chama na nyingine watapewa kadri siku zinavyoenda mbele.
Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja maana waliitwa kila mmoja kivyake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tunaye..., tufanye nini?Lilikuwa ni kosa kubwa Sana huyu mtu kumpa madaraka makubwa hivi
Kwa kadiri inavyotumika nguvu kubwa kuiua CHADEMA ndio hiki chama kinavyozidi kujikita mioyoni mwa Watanzania
Jr[emoji769]
Ninaloweza kuweka hapa kwa uhakika kabisa ni kwamba, sioni kwa njia yoyote Maalim Seif akipewa kitita akagombee uRais Zanziba.
Linalowezekana kwake ni kupewa umaKamo..., sijui kama hili aliahidiwa na kulikubali!
Bila shaka fedha hizo zimetoka kwa masharti kwamba Membe asipewe nafasi kutimiza ndoto yake kupitia vyama hivyo.Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilichojiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF.
Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billioni za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.
Kaniambia kwa mujibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Urais hadi Udiwani.
Na wao tayari wameishapewa Milion 100 za kujenga Chama na nyingine watapewa kadri siku zinavyoenda mbele.
Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja maana waliitwa kila mmoja kivyake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naleta habari mkuu sawa mimi ni mjumbe na siko kwenye Siasa kabisa na sitaki kuisikia
Sent using Jamii Forums mobile app
We taahira kweli !!!CCM ndio chama pekee chenye Nia ya dhati ya kujenga demokrasia nchi na CCM kutumia mapato yake kutoka na vitega uchumi vyake ili kujenga demokrasia si jambo gumu.
Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa nilisema kuwa wapinzani walisusa kutokana na ukata na si kingine mkabisha leo Mbatia kathibitisha kikwazo Cha wapinzani kutofanya michakato ya kidemokrasia ni ukata.
Msione aibu kuomba msaada wa kifedha CCM ili kujenga vyama vyenu, CCM haina tatizo Kama pesa inazotoa zitajenga demokrasia ya kweli.
Rais Magufuli hawezi kutumia pesa za walipa Kodi kufanya kitu hicho.
Basi kama ndiyo hivyo Mbatia mwenyewe kavujisha. Hapo vipi? Au hujaelewa nini maana ya matumizi ya dola kubaki madarakani?Unjustifiable writing - ndani kule hakukuwa na officials zaidi ya Usalama (walinzi wa rais) - kupiga ramuli hakukusaidii badala yake jikiteni kwenye kuimarisha umoja wenu
Unachofanya ni kufitinisha wapinzani wenzako kitu ambacho hakikuongezei huruma
Mambo mangapi hufanyika bila ya bunge kuhusishwa? Japo hii habari haina uthibitisho lakini kusema haiwezekani kwa sababu bunge halijathibitisha that's a very stupid excuse kwani kumeshuhudiwa projects nyingi kubwa zikianzishwa bila ya ushirikishwaji wa bunge.Sasa kaka hizo zimetolewana bunge gani? Siamini huu ujinga kuwa ni kweli.
Kwa kadiri inavyotumika nguvu kubwa kuiua CHADEMA ndio hiki chama kinavyozidi kujikita mioyoni mwa Watanzania
Jr[emoji769]
Lilikuwa ni kosa kubwa Sana huyu mtu kumpa madaraka makubwa hivi
Tutulie tu, huyu kuua watu ni rahisi Kama kuua panya na anapenda kuuaKwa hiyo mkubwa nini cha kufanya kama mi mavi ishaturukia