Tetesi: Chama kisha pokea milion 100 za awali katika ahadi ya Ikulu

The Principle Of Divide And Rule
 
 
Mtu yoyote akikosoa chadema amenunuliwa?

Dk Slaa aliwakosoa chadema akawahoji hao mnaopokea ni asset au liability? Akaambiwa ni Dk mihogo amenunuliwa na ccm lakini leo Mbowe na wazee wa chadema wanajuta hadharani kupokea pokea wanachama hovyo.
Chadema badala ya kujibu hoja za Mbatia wanajificha kwenye kichaka cha amenunuliwa na ccm!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unjustifiable writing - ndani kule hakukuwa na officials zaidi ya Usalama (walinzi wa rais) - kupiga ramuli hakukusaidii badala yake jikiteni kwenye kuimarisha umoja wenu

Unachofanya ni kufitinisha wapinzani wenzako kitu ambacho hakikuongezei huruma
Kwani usalama hawana marafiki? Na ,je wewe umejuaje ilo?
 
mkuu thread zako zote ni tetesi, unajisikiaje lakini?
 
Kama kuna UKAWA, je hakuwezi kuwapo kuungana kwa mpinzani na aliyepo madarakani?
 
Mnachezea pesa ya walipa kodi halafu unasema hakuna shida!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu upimbi uwe unawasimulia wakwenu huko kijijini wakati ukigongea ugimbi! Nonsense!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…