Anataka awe kama moloko anakunja na bukta kabisa kama anakimbia marathon na wamemuongeza na kisindaChama ni mchezaji anayecheza taratibu lakini kwa akili nyingi. Mechi zenye mbio sana na pressing kubwa haziwezi.
Chama ni kama mwenge tu, unakimbia humu humu nchini tu, hata ukiangaza kamwanga kake kanaishia MalawiChama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia
Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.
Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .
Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.
Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.
Ikibisha bisha Ila ndio ukweli.
Chama alietoa assist zote za magoli leo dhidi ya Big Bullets1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa
2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa
3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa
4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa
5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia
Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.
Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .
Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.
Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.
Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc🤪
Sijamuelewa anamaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzio wameanza kujikataa. View attachment 2353078
Chama aliyewagalagaza mabeki wa Yanga siku wanapigwa 4 , 1 kombe la ASFC na yeye akapachika 11 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa
2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa
3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa
4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa
5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Kwahiyo chama ni wakawaida sana?fei toto akomae akacheze nje ya tz tuone hukoChama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia
Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.
Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .
Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.
Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.
Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc🤪
Sio kwa mujibu kiuhalisia we unawaonaje kamandaKweli naendelea kuamini kwamba yanga wote hamna Akili isipokuwa kikwete na baba yake manara hii Kwa mujibu wa Manara.
Na akamgalagaza Fei Toto mpaka akatembelea magoti akiutafuta mpiraChama aliyewagalagaza mabeki wa Yanga siku wanapigwa 4 , 1 kombe la ASFC na yeye akapachika 1
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ni club gan ya nje na ndani humu iliyoonesha interest ya kumsign Fei Toto??Kwahiyo chama ni wakawaida sana?fei toto akomae akacheze nje ya tz tuone huko
Daah moments km hizi Uto hawajawahi experience kabisa.1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa
2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa
3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa
4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa
5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Msamehe utopolo ana stress za tozo.1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa
2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa
3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa
4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa
5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Watu mna siri nyie! Miaka yote mmeliweka moyoni hamtuambii..
Hapa umemmaliza kabisa huyo juha wa Utopolochama baba