Chama ni mchezaji wa game ndogo

Chama ni mchezaji wa game ndogo

Chama ni mchezaji anayecheza taratibu lakini kwa akili nyingi. Mechi zenye mbio sana na pressing kubwa haziwezi.
Anataka awe kama moloko anakunja na bukta kabisa kama anakimbia marathon na wamemuongeza na kisinda
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli.
Chama ni kama mwenge tu, unakimbia humu humu nchini tu, hata ukiangaza kamwanga kake kanaishia Malawi
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Chama alietoa assist zote za magoli leo dhidi ya Big Bullets
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc🤪
4C930A6E-0DBE-4950-B50D-6184792344F9.jpeg
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Chama aliyewagalagaza mabeki wa Yanga siku wanapigwa 4 , 1 kombe la ASFC na yeye akapachika 1

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc🤪
Kwahiyo chama ni wakawaida sana?fei toto akomae akacheze nje ya tz tuone huko
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Daah moments km hizi Uto hawajawahi experience kabisa.
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Msamehe utopolo ana stress za tozo.
 
Ukitaka starehe soka bongo...mwangalie CHAMA...
wengine watasifiwa kwa mengine ..kufunga ,, kukimbia nk.

Lakini taste za akina Gaucho ,zidane, iniesta, Okocha n..k....ziko kwa CHAMA..

Mengine n roho za kishabiki kukataa ukwelii ...

Viongozi simba MPENI CHAMA heshima yake
 
Wana lunyasi tulishakubaliana, mada za kiwaki tunazikaushia hatusemi kitu.

Mengine wanaanzisha kutuchoresha, hivi hamjawashtukiaga tu??
 
Back
Top Bottom