Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccmu wanatuletea ukabila nchini kwetu , badala ya kujibu hoja wanaanza jenga dhana za ukabila , ukiwa moshi wapo wachaga wengi ni ccmu , ila chadema hawajawai sema ccmu ni chama cha waislam maana chadema inajitambua haitak siasa za udini wala ukabila ila ccmu hawawez jibu hoja wanakimbilia kijenga dhana ya ukabilaHiyo saccos yenu ya uchagani haitopata ingia ikulu
tusijifananishe na Botswana , wao wapo mbali snRaisi wa serikali ya chama dola kongwe Botswana mara baada ya kutangaza kimeshindwa
Mgombea wa chama dola kongwe Botswana Democratic Party (BDP) rais Mokgweetsi Masisi akubali hatima yake, baada ya nguvu ya umma kupitia sanduku la kura...
View attachment 3140867Picha : Rais Mokgweetsi Masisi akigumia maji, baada ya historia mpya kuandikwa akielezea sababu ya chama chake kuangukia pua.
Kwa kina:
Botswana mheshimiwa Mokgweetsi Masisi amekubali hatima yake kufuatia utendakazi mbaya wa chama chake katika uchaguzi Mkuu wa 2024.
Akizungumza na vyombo vya habari leo asubuhi, Masisi alisema akiwa mgombea urais amekubali kushindwa na amethibitisha yeye binafsi kumpigia simu Rais wa Umbrella for Democratic (UDC) Duma Boko kumpongeza.
Masisi alisema alipiga simu jana na mwingine asubuhi ya leo.
“Pia nitakabidhi masuala yote ya serikali yaliyosalia kwa rais mpya ili aweze kuyahutubia baada ya kuapishwa kwake. Nitaendelea kutumikia maslahi ya Botswana yangu kipenzi ndani ya vigezo vya katiba yetu,” Masisi alisema.
"Ninaahidi kufanya sehemu yangu kujenga nchi imara kutoka ndani na kufanya kazi na utawala mpya ili kuhakikisha kuwa kila raia anapata fursa kwa vidole vyake. Natarajia kuhudhuria uzinduzi huo,” Masisi alisema.
Mchakato wa kukabidhiwa Serikali Masisi alisema "utaanza kesho au kama katika majadiliano yangu na rais mteule, kwa wakati unaofaa kwake.
"Tutaanza kazi zote za kiutawala ili kuwezesha mabadiliko na ninawahakikishia kuwa sitachukua hatua yoyote kuzuia au kupunguza kasi ya mchakato huu
Source :![]()
Masisi accepts defeat
Botswana Democratic Party (BDP) president Mokgweetsi Masisi has accepted his fate following his party's poor performance in the 2024 General electionswww.mmegi.bw
WellWAPIGAKURA nchini Botswana wamekikataa chama tawala cha muda mrefu cha nchi hiyo (BDP) katika matokeo ambayo yanaashiria tetemeko la ardhi la kisiasa katika taifa hilo lenye utajiri mkubwa wa almasi kusini mwa Afrika.
BDP - Chama cha Kidemokrasia cha Botswana - kilichokuwa madarakani tangu uhuru mwaka 1966 - kimeshinda kiti kimoja pekee cha ubunge kufikia mapema Ijumaa asubuhi. Inaonekana nafasi yake kuchukuliwa na Umbrella for Democratic Change yaani Mwavuli wa Mabadiliko ya Demokrasia (UDC).
Rais Mokgweetsi Masisi amekubali kushindwa, akisema ni wazi kuwa chama chake cha BDP kimeshindwa "pakubwa".
Licha ya kusimamia mabadiliko makubwa nchini Botswana, ukuaji duni wa uchumi wa hivi karibuni na ukosefu mkubwa wa ajira ulidhoofisha umaarufu wa BDP.
"Nitang’atuka kwa heshima na kushiriki katika mchakato mzuri wa kukabidhi mamlaka kabla ya kuapishwa," amesema Masisi katika mkutano na waandishi wa habari asubuhi ya leo Ijumaa.
Amewataka wafuasi wake kuwa watulivu na kuiunga mkono serikali mpya.
UDC, inayoongozwa na wakili wa haki za binadamu Duma Boko, imeshinda viti 25, kulingana na hesabu za mapema. Chama hicho kinatarajiwa kupata Zaidi ya kizingiti cha viti 31 ili kuwa na wingi wa wabunge.
Chama cha Botswana Patriotic Front (BPF) kinachoungwa mkono na Rais wa zamani Ian Khama, kimepata viti vitano huku Chama cha Botswana Congress Party (BCP) hadi sasa kimepata viti saba.
Chama chenye wingi wa wabunge ndicho kinatarajiwa kuunda serikali. Boko yuko mbioni kuwa mkuu wa nchi mara baada ya Bunge kukutana kwa mara ya kwanza.
Wafuasi wa UDC wamekuwa wakisherehekea katika mji mkuu Gaborone na maeneo mengine ya nchi. Masisi amekuwa madarakani tangu 2018 aliporithi madaraka kutoka kwa Khama.
Thank you for this commentccmu wanatuletea ukabila nchini kwetu , badala ya kujibu hoja wanaanza jenga dhana za ukabila , ukiwa moshi wapo wachaga wengi ni ccmu , ila chadema hawajawai sema ccmu ni chama cha waislam maana chadema inajitambua haitak siasa za udini wala ukabila ila ccmu hawawez jibu hoja wanakimbilia kijenga dhana ya ukabila
Ila hii nchi ina watu wajinga sn , watu wanavunjiwa makaz yao , polisi wanapora mali za watu na bado inapata ujasiri wa kusema haya yote kwako sw tuTatizo huyo mmbadala wa ccm ni Nani?
Kweli tumeichoka ccm ila hatujaichoka Tanzania kwa kuwapa nchi chadema hawana sera kwanza zaid ya fujo
kwan nchi ina balance gn , mtu anakula 42B kwa mkupuo na ww chawa umepewa elf 50 umekuja huku kushupaz shingle kuwa una balance na nan ?Mimi sina shida na CCM,naelewa wafanyacho na umuhimu wao kwa nchi,ondoa CCM na nchi inakosa balance
Chawa zao wakipewa hata elfu 20 tu ya kuhonga makahaba anakuja huku kutukana anajiona katoboa😅😅😅kwan nchi ina balance gn , mtu anakula 42B kwa mkupuo na ww chawa umepewa elf 50 umekuja huku kushupaz shingle kuwa una balance na nan ?
KweliChiluba alifanya siku nyingi,na bado CCM inadunda tu,anzisheni chama kitachounganisha dini na makabila yote,siyo chama cha wachaga na wachungaji,hamtopata nchi ng'o
Watoto wa ccm akina ANC ,Frelimo ,zanu pf ni magenge ya mafedhuli na wauwaji .Ccm ikifurushwa nchini Tanzania automatically na FRELIMO nayo itakuwa imefurushwa nchini Msumbiji, kwa sababu uhai wa FRELIMO kuwepo madarakani hutegemea Moja kwa Moja na uhai wa Ccm kuwepo madarakani.
Kuiua Ccm ni kuiua FRELIMO,kwani hao ni mapacha ambao wana-share moyo mmoja.
Elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimuKwa wan
anchi hawa majuha wa Tanzania?
Elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimuWatoto wa ccm akina ANC ,Frelimo ,zanu pf ni magenge ya mafedhuli na wauwaji .
Kick these motherfvckers out !
Nani kala 42b?kwan nchi ina balance gn , mtu anakula 42B kwa mkupuo na ww chawa umepewa elf 50 umekuja huku kushupaz shingle kuwa una balance na nan ?
Tanzania ccm imechoka na wapinzani wamechoka ,wananchi wamekataa tamaa wanaona bora liende tu.Chiluba alifanya siku nyingi,na bado CCM inadunda tu,anzisheni chama kitachounganisha dini na makabila yote,siyo chama cha wachaga na wachungaji,hamtopata nchi ng'o