Chama tawala kinaagiza wakati CHADEMA Mbowe anasema anachukua kero na atampelekea SAMIA

Chama tawala kinaagiza wakati CHADEMA Mbowe anasema anachukua kero na atampelekea SAMIA

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi. Hii imeoneka wakati wa Kampeni ya 255 ya CHADEMA wanasema wanachukua kero ili wazipeleke kwa rais wakati Katibu mkuu wa wa CCM anaagiza na zinatekelezwa. Sioni mantiki ya ku C/O kero wakati njia ya moja kwa moja ipo.
 
Mimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi. Hii imeoneka wakati wa Kampeni ya 255 ya CHADEMA wanasema wanachukua kero ili wazipeleke kwa rais wakati Katibu mkuu wa wa CCM anaagiza na zinatekelezwa. Sioni mantiki ya ku C/O kero wakati njia ya moja kwa moja ipo.
Unataka wanasiasa wafanye kazi gani? Huna tofauti na lile komwe la Chato
 
Wewe unaona siasa nayo ni kazi. Ok SAWA sasa wakati wanafanya na wengine wote wako kazini wanakuwa wanafanya na nani?
Kwa sababu huna akili huwezi kujuwa kuna Degree ya Political science.

Wewe na yule mwendakuzimu mmekosa akili.
 
Nawaona wanazurula tu humu wanalofanya halieleweki ili mradi wamepiga makelele tu.
 
Mimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi. Hii imeoneka wakati wa Kampeni ya 255 ya CHADEMA wanasema wanachukua kero ili wazipeleke kwa rais wakati Katibu mkuu wa wa CCM anaagiza na zinatekelezwa. Sioni mantiki ya ku C/O kero wakati njia ya moja kwa moja ipo.
Kuagizwa na kutekelezwa ni vitu viwili tofauti. Hayo ni maigizo tu business as usual. Rais Samia mwenyewe anatoa maagizo na yanapuuzwa itakuwa huyu Chongolo?
 
Kuagizwa na kutekelezwa ni vitu viwili tofauti. Hayo ni maigizo tu business as usual. Rais Samia mwenyewe anatoa maagizo na yanapuuzwa itakuwa huyu Chongolo?
Wewe kaita mawaziri wameenda mbiyo chezea SG wewe
 
Huwezi kuona faida sababu uelewa ni mdogo, hii mikutano ya hadhara inawafungua sn wananchi wanapata uelewa kwa mambo mengi sn, kipindi nikiwa mdogo Dr Slaa alisababisha nikapenda siasa sababu nilianza kusikia mambo mengi ambayo nilikuwa siyajui lakini kupitia elimu ile nilijua vitu vingi sn kutoka kwake plus nchi inavyoliwa
 
Mimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi.
Dogo, kama huamini jambo au huna uwezo wa kuelewa, haimaanishi kuwa jambo hilo siyo muhimu. We tulia
 
Wanatuona mabwege kwa michezo yao ya kuigiza
 
Back
Top Bottom