Unataka wanasiasa wafanye kazi gani? Huna tofauti na lile komwe la ChatoMimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi. Hii imeoneka wakati wa Kampeni ya 255 ya CHADEMA wanasema wanachukua kero ili wazipeleke kwa rais wakati Katibu mkuu wa wa CCM anaagiza na zinatekelezwa. Sioni mantiki ya ku C/O kero wakati njia ya moja kwa moja ipo.
Kwa sababu huna akili huwezi kujuwa kuna Degree ya Political science.Wewe unaona siasa nayo ni kazi. Ok SAWA sasa wakati wanafanya na wengine wote wako kazini wanakuwa wanafanya na nani?
Kwani wapo pekee Yao jukwaani au Kuna watu wanasikiliza?Wewe unaona siasa nayo ni kazi. Ok SAWA sasa wakati wanafanya na wengine wote wako kazini wanakuwa wanafanya na nani?
Upumbavu nao ni baraka,Unataka wanasiasa wafanye kazi gani? Huna tofauti na lile komwe la Chato
Kuagizwa na kutekelezwa ni vitu viwili tofauti. Hayo ni maigizo tu business as usual. Rais Samia mwenyewe anatoa maagizo na yanapuuzwa itakuwa huyu Chongolo?Mimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi. Hii imeoneka wakati wa Kampeni ya 255 ya CHADEMA wanasema wanachukua kero ili wazipeleke kwa rais wakati Katibu mkuu wa wa CCM anaagiza na zinatekelezwa. Sioni mantiki ya ku C/O kero wakati njia ya moja kwa moja ipo.
Mbowe na Lissu wanatoa elimu kwenye jamii hivyo watu wanaanza kujua haki zaoKuagizwa na kutekelezwa ni vitu viwili tofauti. Hayo ni maigizo tu business as usual. Rais Samia mwenyewe anatoa maagizo na yanapuuzwa itakuwa huyu Chongolo?
Dogo, kama huamini jambo au huna uwezo wa kuelewa, haimaanishi kuwa jambo hilo siyo muhimu. We tuliaMimi siamini katika mikutano ya hadhara hasa ya upinzani baada ya uchaguzi. Sababu yangu ni moja, wapinzani hawana ufumbuzi wa kero za wananchi.
Nimeishia kucheka tuUnataka wanasiasa wafanye kazi gani? Huna tofauti na lile komwe la Chato