Champion Investment matapeli Mwanza

Champion Investment matapeli Mwanza

Sasa PM za nini? Mleta hoja angalia wajanja wengine humu wasije wakakuona ni fursa nyingine kwao na kukuliza tena.
Sina hizo njaa ndg Wala sifikirii hayo
wewe unafikiri Kila kitu kitakuwa exposed hapa?
 
Walitaka kunipiga nikashtuka, nikachat na memba mmoja kama alishapata hela, akaniambia hajajaribu na hawezi kujaribu.. Sijui wanatoa wapi no. za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vya bure ni aghali. Tumia na za kwako ukiambiwa jambo. Laki 3 kwa mtaji wa laki ndani ya siku 3! Ukipenda sana vya dezo ipo siku utaolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipiga simu kupata abc na kuahidi kwenda ofisini kwao kimtindo jamaa wakaniambia niwapigie simu kabla ya kufika Buzuruga nika confirm ofisi ipo mifukoni, tuwe making Great thinkers
 
Poleni sana. Makao makuu ya DECI yalikuwa forest mbeya, nyumba ya mzee mmoja alikuwaga ttcl baadae akamuuzia yule mama wa tpb, pamoja na kuwafaham vizuri wafanyakazi wote wa deci, pamoja na kuwaona vijana na wamama wakipanda na "kuvuna" kila wiki sikuwahi kushawishika kamwe. Ni scheme ambayo iko wazi kabisa kwamba kuna watu wataumia, hata isingeingilia bot watu wangelia vibaya mno! Watanzania wanapenda sana mteremko bila kufikirisha akili.
HAHAH ATUULIZIE SISI WA

DESI UNACHOTA UNACHOTA UNAZIMWG PWAA ZINAENDA BOT .....ACHAKABISA PAMOJAMPWAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom