Champions League quarter-final draw: PSG face Manchester City – as it happened

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu umesema kila kitu, naunga mkono hoja 100%
England promo ndo zinawasaidia, media zinawabeba sana, ila kimpira hamna kitu
hii ligi inanikera sana na ndio mana naiitaga RUGBY LEAGUE ila pia juve aliniboa sana siku ile na yule kocha sijajua aliwaza nini kumtoa Morata mtu ambaye walau alikuwa anawatisha Bayern pale mbele na walisubir zirudishwe zote ndio waanze kushambulia pumbaaavu saaana
 
Game ya kwanza msimu huu vicente calderon simeon alisema sikushangilia goli la torres cz nilimuona messi nje akipasha
 
Pale kocha ndo alipozingua yan. Bayern game ilishawakalia vibaya. kocha alipaswa kumuacha morata na cuadrado watie jamba jamba pale mbele ili kuzidi kuwachanganya bayern, ila ndo hivyo allegri mahesabu yake yameigarimu juve. Nliumia sana kuona buffon anatoka kwa style ile
 
[emoji19] [emoji19] ndio hvyo mkuu yani Juve walipoteza Golden Chance ila wakat mwingine watajifunza kutokana na makosa
 
Madrid fainal aende kufanya nini? Tunamtaka huyu mdudu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
...Barca akimtoa Atletico anaenda kuchukua hilo kombe,binafsi naiona Atletico ndio timu ngumu zaidi ya zote zilizokuwepo kwenye hiyo draw..
Kwanini sio Bayern?
 
Kila ninaposoma comment za watu wanavyoidharau atletico Madrid nabaki kucheka tu!!Hizi game ndio huwa zinampandisha chart Diego simeone!
Waliosema Atletico wataaga mashindano hawajakurupuka, angalia misimu miwili ya hivi karibuni kati ya Atletico na Barca wakikutana. Kuanzia ligi mpaka Copa Del Ray Atletico anakaa, tena anakaa home and away. Labda aombe Barca ipate majeruhi.
 
Reactions: PNC
Hoja isiyo na mashiko, hiyo draw unayosema inachanganywa ni siasa za kimpira tu. Ila Draw inapangwa na wao wenyewe ili kuleta faida kwa shirikisho.
Madrid ina mchango mkubwa ktk hili kombe, we jiulize Mtoano kapewa Roma, Robo pia anapewa huyu dogo. Kama sio mbeleko ni nini?
 
Reactions: PNC
ili barca awe bingwa halali niliombea apite ktk njia 3,atletico kisha real madrid au psg then final amalize na bayern,naona amekutana na kigingi cha kwanza!!!ngoja tuone
Sema Atletico kisha Bayern, hao PSG na Real Madrid hawawezi wakatoa hata droo na Barca uwanjani kwao.
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…