PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
- Thread starter
- #121
hii ligi inanikera sana na ndio mana naiitaga RUGBY LEAGUE ila pia juve aliniboa sana siku ile na yule kocha sijajua aliwaza nini kumtoa Morata mtu ambaye walau alikuwa anawatisha Bayern pale mbele na walisubir zirudishwe zote ndio waanze kushambulia pumbaaavu saaana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu umesema kila kitu, naunga mkono hoja 100%
England promo ndo zinawasaidia, media zinawabeba sana, ila kimpira hamna kitu