CHAN Finals: Live from Ivory Coast

CHAN Finals: Live from Ivory Coast

sijui marcio anachukua criteria gani game ya kwanza captain alikuwa Nsajigwa game ya pili akawa Nizar khalfan leo captain ni said swedi....mtangazaji anawasifia Mgosi an Ngassa....
 
chaneli ipi leo ndinga linaonyeshwa?!?!?! Linki tafadhalini....
 
jamani 2mekosda bao Nizar khalfaaaan ooiii
 
Yoyo ila hilo jua mshikaji linaonekana kali sana hapo uwanjani
 
duh Tanzania kama Brazil leo hawa wetu tu. Shime vijana pambaneni!
 
Yayh man saa 10 kule now.....jua naona kali kali ila uwanja sio green sana.....Nizar kama Vieira leo anamiliki kiungo si utani
 
Mbona hata Karume yetu ni bomba zaidi ya hiki....Lazima niseme maana muda mrefu mno tulikuwa hatuna viwanja....
 
huyu kibendera fisadi fisadi namuona.....kamkomalia Mgosi kila aki.....kibendera kinanyooka..
 
Kwa mashabiki wa Liverpool, Kina michuzi na wenzake poleni sana manake leo mmezabwa mbili kwa tairi. Chelsea na Arsenal huu mwaka wa shetani kwenu!
 
Kwa mashabiki wa Liverpool, Kina michuzi na wenzake poleni sana manake leo mmezabwa mbili kwa tairi. Chelsea na Arsenal huu mwaka wa shetani kwenu!
mkuu sasa unaanza kuchafua jamvi......unasikia sebene uwanjani mkuu

N.B Invisible JF nakuwa siipati sijui kwanini au ndio zile attack....maana inakuwa ina search nusu saa haifunguki......internet bill nimelipa.....
 
Back
Top Bottom