My African Football ....inabidi ujisajili kwanza....chaneli ipi leo ndinga linaonyeshwa?!?!?! Linki tafadhalini....
mkuu sasa unaanza kuchafua jamvi......unasikia sebene uwanjani mkuuKwa mashabiki wa Liverpool, Kina michuzi na wenzake poleni sana manake leo mmezabwa mbili kwa tairi. Chelsea na Arsenal huu mwaka wa shetani kwenu!
hii hapa :My African Football
huyu kibendera fisadi fisadi namuona.....kamkomalia Mgosi kila aki.....kibendera kinanyooka..