Nimegundua watu wengi kumbe hawaifahamu hii kanuni, wanaleta stories za magoli kuongeza kuwa mawili, nimecheka sana.Huu uongo,hakuna cha goli moja la ugenini kuwa mawili,ni mwenye goli nyingi za ugenini anasonga mbele.leo agregste ni 2_2 ila Tz inasonga kwa goli nyingi za ugenini.Hakuna cha 3_4 wala nini magoli ni 2_2 ila Tz ana 2 za ugenini na Sudan ana 1 la ugenini
Lala unono MkuuNashuhudia mchezo kati ya Tanzania na Sudan kweli ni aibu na inasikitisha. Wale wachezaji walichaguliwa kwa kufuata kigezo gani?. Hivi kocha wao ni kocha kweli. Nimefunga luninga yangu na kwenda kulala.
Ila hapakuwa na mchezaji yeyote wa yangaTaifa star walikuwa wamevaa jezi ya bahati jezi ya yanga
Hapana, tumefusu 😂😂😂Kwa hyo. Tumefuzu
Nani....??Vipi anaendeleaje?
Mbumbumbu hiyo isamehe..Acha ujua, sliyekwambia jezi ucheza Mpira ni nani, mawazo kama yako ndiyo yanatufanya tuendelee kuwa kichwa cha kichaa. Badala ya kudeal na tatizo tunadeal na na mavazi, tubadilike ndugu zangu, bila hivyo hatutoboi
Mungu kiyahudi HYWH na kiarabu ALLAHUna maana ya mungu au Mungu????? tehtehtehtehteh
Hapana, magoli ya ugenini yanaangaliwa mnapokuwa mpo sawa, mfano kwa matokeo ya Leo INA maana matokeo in 2-2 bila kuangalia matokeo (magoli) ya home au away. Sasa baada ya matokeo kuwa 2-2 magoli ya ugenini yakahesabiwa hivyo Tanzania ikashinda 4 kwa 3 za sudani. AhsanteHuu uongo,hakuna cha goli moja la ugenini kuwa mawili,ni mwenye goli nyingi za ugenini anasonga mbele.leo agregste ni 2_2 ila Tz inasonga kwa goli nyingi za ugenini.Hakuna cha 3_4 wala nini magoli ni 2_2 ila Tz ana 2 za ugenini na Sudan ana 1 la ugenini
Mbona tumeshinda[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wazee wa chenga twawala! Nawatakia kila la heri, ingawa ukweli mchungu. Timu inacheza mechi tano halafu inafunga magoli mawili tu!
Kufuzu hapa ni majaliwa tu. Tulishakosea mechi ya mwanzo kuruhusu goli kwenye uwanja wetu wa nyumbani.
Taifa star walikuwa wamevaa jezi ya bahati jezi ya yanga
Samahani mkuu Aggregate ni 4(tz) 3(Sudan). AhsanteMchezo wa kufuzu mashindano ya CHAN umemaliza kwa Timu ya Taifa ya Tanzania kushinda kwa magoli mawili dhidi ya goli moja kwa Sudani. Mechi ya awali, Timu ya Taifa ya Sudan ilishinda kwa goli moja. Taifa Starz imefuzu kwa ya faida ya magoli mawili ya ugenini.
====
Tanzania yafuzu fainali za CHAN mwaka 2020 kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2009. Ni baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Sudan na kufuzu kwa faida ya goli la ugenini.
Magoli ya Tanzania kwenye mchezo wa leo yamefungwa na Erasto Nyoni dakika ya 49 na Ditram Nchimbi dakika ya 78.
FT | Sudan 1-2 Tanzania (Agg: 2-2)
View attachment 1237611
View attachment 1237609
Hatuna timu TanzaniaMchezo wa kufuzu mashindano ya CHAN umemaliza kwa Timu ya Taifa ya Tanzania kushinda kwa magoli mawili dhidi ya goli moja kwa Sudani. Mechi ya awali, Timu ya Taifa ya Sudan ilishinda kwa goli moja. Taifa Starz imefuzu kwa ya faida ya magoli mawili ya ugenini.
====
Tanzania yafuzu fainali za CHAN mwaka 2020 kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2009. Ni baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Sudan na kufuzu kwa faida ya goli la ugenini.
Magoli ya Tanzania kwenye mchezo wa leo yamefungwa na Erasto Nyoni dakika ya 49 na Ditram Nchimbi dakika ya 78.
FT | Sudan 1-2 Tanzania (Agg: 2-2)
View attachment 1237611
View attachment 1237609
Aisee mbona unaongea utumbo, yani jamaa hapo juu kakuelewesha lakini bado umetoka mweupe. DAAAAhhhhHapana, magoli ya ugenini yanaangaliwa mnapokuwa mpo sawa, mfano kwa matokeo ya Leo INA maana matokeo in 2-2 bila kuangalia matokeo (magoli) ya home au away. Sasa baada ya matokeo kuwa 2-2 magoli ya ugenini yakahesabiwa hivyo Tanzania ikashinda 4 kwa 3 za sudani. Ahsante
Viuongo hamna yule Mudhari Yahaya yupo wapi?Hivi kwanini pesa zinazotumiaka kwaajili ya taifa stars zisitomike kuwaanda wale madogo akina kelvin john waliotwaaa ubingwa baada ya miaka kadhaa ndo tushiriki
Mzee umelewa nini?Samahani mkuu Aggregate ni 4(tz) 3(Sudan). Ahsante