Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kwahiyo unataka uwe unashangilia kitu kibovu?usimlazimishe kila mtu awe na mawazo yakoHizi comments za hivi ndo huiua timu. Issues za kuidharau nchi yetu na kujibeza ndo kunatugharimu.
Comments za awali inaonesha level ya ujinga wa baadhi ya watanzania.
Kubali chako ukiona hakifai, kiboreshe.
Viva Tanzania na poleni mliokuwa mkicomment kiroho mbaya!
Unamlisha matikiti pori mwenzio ww😀
Achana na soka kashangilie hata rede Maana hata draft imekushinda2-2 tunatoka coz aggregate inakuwa 3-2 faida kwao
Ungeweza kujibu kwa staha ili kufikisha ujumbe wsko. Naombs naomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3Aisee mbona unaongea utumbo, yani jamaa hapo juu kakuelewesha lakini bado umetoka mweupe. DAAAAhhhh
Ungeweza kujibu kwa staha ili kufikisha ujumbe wsko. Naombs naomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3Mzee umelewa nini?
Aggregate ni 2 - 2
Yaliyopita si ndwele....sisi tushasahau hayo na tuko katika kusahau game ya Leo..tuna focus ya mbele ...mbere kwa mbere...CHAN 2020 here we comeWadau naomba niwakumbushe kwamba katika mojawapo ya mechi Taifa star tuliyoshinda ugenini 2-1 dhidi ya Burkina Faso Coach alipokuwa Maximo. Mojawapo ya wafungaji wa hiyo match alikuwa Erasto Nyoni. Ahsante
Tuna niniHatuna timu Tanzania
AiseeeeeeeeUngeweza kujibu kwa staha ili kufikisha ujumbe wsko. Naombs naomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3
Ahsante
Usikute huyo Jamaa ni Makonda hawajui kitu Ila wanakomaaAisee mbona unaongea utumbo, yani jamaa hapo juu kakuelewesha lakini bado umetoka mweupe. DAAAAhhhh
Hilo goli la nyumbani ulifunga weweTutapita sababu tuna magoli mengi away while home tulitoka kwa draw ya 1-1.
Naomba nirudie tena tumeshinda kwa 4- 3 (kwa kuzingatia away goals) . Tunapataje hizo goal Tanzania 2 x 2 = 4 kwa vile zote ni za away. Sudan 1x2 (walilotufunga hapa) + 1 (goal LA Leo) = 3Usikute huyo Jamaa ni Makonda hawajui kitu Ila wanakomaa
Kesho wana scarf wapo airport kujifanya mwenyekiti WA kamati