Changamoto anayopitia Rayvanny, wacha sasa apambane mwenyewe

Changamoto anayopitia Rayvanny, wacha sasa apambane mwenyewe

Hivi billion moja nyie wenzetu mnaichukuliaje?

pale wcb pesa haina thamani kabisa,tegemea kusikia story yoyote tu kwa pesa hii hii unayoijua.

kaka ana magari ya bilion kadhaa,akampa dada yake zawadi ya birthay gari la milion 7.
 
Jana niliandika Uzi kumhusu rayvanny, kuanzia support aliyopata Kwa Diamond , behind the scenes ya hyo backup , na nikaunganisha pia Kwa harmonize jinsi ambavyo wote Kwa pamoja mond aliwabeba na kuwatambulisha vyema ...!!

Harmonize akaona isiwe tabu ikabd ajikate, njia aliyopitia sio rahsi hata kidogo , ni njia ngumu yenye giza nene , hata kusikika kwake sasa angalau kuelea kwenye peak amefika Kwa gharama kuu .... Uzuri wa harmonize ni mtu wa Wana sana , Yani msela fulan hv ambaye watu wa vijiwe na kitaa wanamuelewa , ana swaga hata Kwa presenters na Kiki za hapa na pale , kiukweli imemsaidia kutrend

Nikarudi Kwa Rayvanny kijana wa Mbeya Kwa walima viazi , wapo wanaomsifu kuwa ni kijana wa heshima mara ooh mstaarabu , ukweli ni kuwa Rayvanny ana majivuno , dharau na kujiona kwingi , sio mtu wa Wana na masela , ameegemea Sana Kwa jinsia ya kike, na Kwa vile b4 alikuwa na strong backup ya Mond hii ilimbeba Sana , yaani diamond akifanya sarakasi zake za Kiki , na uhuni wake , automatically alikuwa anambeba pia dogo kutrend....

Sasa amejiachia , ni kweli ni Jambo sahihi Ila Kwa namna alivyo naona kama ni wrong move...!! Hana ngozi ngumu ya kupitia mashutumu , Kiki , kutoa mawe ya kubang , kuroga Sana na uhuni mwingi , yupo yupo tuuu , na Kwa sasa hajui hata afanye nini , kufanya kolabo na wasanii wasioeleweka , kutoa nyimbo boko , pelepele washa ndo nini sasa , matokeo yake wimbo haujaenda mjini , media karbia zote ni kama zimemsusia , rayvann anapost Instagram Kwa masaa matano replies ni 40+ hii haijawahi tokea , dogo ni mlaini Sana

Ukweli dogo yupo kwenye alarming rate , hajachelewa kuzinduka na kuona something is wrong , unatafuta machawa akina Mr Pimbi daah.... Hyo next level hata haieleweki , macvoive naye yupo yupo tuuu .....

Naamini bado ana nafasi ya kujipanga kabla hajatumbukia shimoni , Kwa jinsi mziki wetu ulivyo ni impossible kuwa katikati alaf ufikr utatoboa , lazima uchague upande , vinginevyo akubali kuwa average.... Na asipoangalia hyo lebel yake itakuwa kijiwe cha kupigia soga na slay qeen akina Paula

ni ushauri tuu , lakini akiwastua nyie moderator akawaomba muufute , bas ufuteni tena na huu
Narudia Tena,Ray ajiandae tu kupotea mazima kwenye ramani ya Muziki maana jamaa amepoa Sana ckuiz.
 
Jana niliandika Uzi kumhusu rayvanny, kuanzia support aliyopata Kwa Diamond , behind the scenes ya hyo backup , na nikaunganisha pia Kwa harmonize jinsi ambavyo wote Kwa pamoja mond aliwabeba na kuwatambulisha vyema ...!!

Harmonize akaona isiwe tabu ikabd ajikate, njia aliyopitia sio rahsi hata kidogo , ni njia ngumu yenye giza nene , hata kusikika kwake sasa angalau kuelea kwenye peak amefika Kwa gharama kuu .... Uzuri wa harmonize ni mtu wa Wana sana , Yani msela fulan hv ambaye watu wa vijiwe na kitaa wanamuelewa , ana swaga hata Kwa presenters na Kiki za hapa na pale , kiukweli imemsaidia kutrend

Nikarudi Kwa Rayvanny kijana wa Mbeya Kwa walima viazi , wapo wanaomsifu kuwa ni kijana wa heshima mara ooh mstaarabu , ukweli ni kuwa Rayvanny ana majivuno , dharau na kujiona kwingi , sio mtu wa Wana na masela , ameegemea Sana Kwa jinsia ya kike, na Kwa vile b4 alikuwa na strong backup ya Mond hii ilimbeba Sana , yaani diamond akifanya sarakasi zake za Kiki , na uhuni wake , automatically alikuwa anambeba pia dogo kutrend....

Sasa amejiachia , ni kweli ni Jambo sahihi Ila Kwa namna alivyo naona kama ni wrong move...!! Hana ngozi ngumu ya kupitia mashutumu , Kiki , kutoa mawe ya kubang , kuroga Sana na uhuni mwingi , yupo yupo tuuu , na Kwa sasa hajui hata afanye nini , kufanya kolabo na wasanii wasioeleweka , kutoa nyimbo boko , pelepele washa ndo nini sasa , matokeo yake wimbo haujaenda mjini , media karbia zote ni kama zimemsusia , rayvann anapost Instagram Kwa masaa matano replies ni 40+ hii haijawahi tokea , dogo ni mlaini Sana

Ukweli dogo yupo kwenye alarming rate , hajachelewa kuzinduka na kuona something is wrong , unatafuta machawa akina Mr Pimbi daah.... Hyo next level hata haieleweki , macvoive naye yupo yupo tuuu .....

Naamini bado ana nafasi ya kujipanga kabla hajatumbukia shimoni , Kwa jinsi mziki wetu ulivyo ni impossible kuwa katikati alaf ufikr utatoboa , lazima uchague upande , vinginevyo akubali kuwa average.... Na asipoangalia hyo lebel yake itakuwa kijiwe cha kupigia soga na slay qeen akina Paula

ni ushauri tuu , lakini akiwastua nyie moderator akawaomba muufute , bas ufuteni tena na huu
Narudia Tena,Ray ajiandae tu kupotea mazima kwenye ramani ya Muziki maana jamaa amepoa Sana ckuiz.
 
vijana wa kiume hizi hadithi waachieni dada zenu mnatuchanganya mwsho tunawahisi mna ushoga... Mtoto wa kiume unachambua maisha ya mwanaume mwenzako anayetafuta maisha wakat wew upo geto na masufuria na huna hata buku
Khaa!
 
Wazi utakuwa ni shabiki wa Harmonize na hizi ni moja ya propaganda mnazofanya ili mumshushe vannyboy hee umefeli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema lile li-Harmonize bishi mno. Yule ni sawa na asali kwenye ncha ya kisu yaani unapata utamu huku kisu kinakukata. Pia Harmonize kwa hapa Tz ni miongoni mwa wanamuziki wachache sana ambao hawabahatishi kipaji. Kuanzia sauti, kutunga hadi kuimba yuko juu. Kondeboy namweka kundi moja na King Kiba, Christian Bella, Papii Kocha, Lady JayDee na TID.

Rayvany kakuzwa sana bila kuwa na sifa stahiki. Rayvanny yuko sawa na Babalevo, Meja Kunta, Lavalava, Shishibaby na Hamisa.
 
C alikuwa anakwenda kumwagia minoti mam dangote alitegemea nn ilikuwa Ni lzm. Kufanya hvyo

Alf pia Ni lzm kila msaniii awe na lebel ilikufikia mafanikio ya kimsiki sioni sababu as long napata kila kitu Kam makaz Bora uhakika wa mshahara na mabonus inakuwa vzr
 
Back
Top Bottom