Changamoto bandari ya Dar es Salaam

Changamoto bandari ya Dar es Salaam

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,175
Reaction score
1,588
Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam

Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini

Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa saba ila mzigo haujatoka mpaka leo nina simu za nokia pisi 1000 mzigo jna miezi mitatu haujatoka ingawa meli zilishusha tayari

Ninapoongea nimeanza kupewa tuhuma kuwa nimetapeli wateja wakati mizigo imefika na hawatoi


Bibafsi naomba mamlaka zifanye jitihada wanaivunjia heshima bandari wateja watakimbia
 

Attachments

  • Bandari.jpeg
    Bandari.jpeg
    87.2 KB · Views: 5
Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam

Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini

Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa saba ila mzigo haujatoka mpaka leo nina simu za nokia pisi 1000 mzigo jna miezi mitatu haujatoka ingawa meli zilishusha tayari

Ninapoongea nimeanza kupewa tuhuma kuwa nimetapeli wateja wakati mizigo imefika na hawatoi


Bibafsi naomba mamlaka zifanye jitihada wanaivunjia heshima bandari wateja watakimbia
Hakuna kitu kama hicho.

Mzee kalipe kodi hacha janja janja.
 
Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam

Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini

Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa saba ila mzigo haujatoka mpaka leo nina simu za nokia pisi 1000 mzigo jna miezi mitatu haujatoka ingawa meli zilishusha tayari

Ninapoongea nimeanza kupewa tuhuma kuwa nimetapeli wateja wakati mizigo imefika na hawatoi


Bibafsi naomba mamlaka zifanye jitihada wanaivunjia heshima bandari wateja watakimbia
Mkuu pole ila hii taarifa na wasiwasi kama wakala wako wa mizigo ana kupa taarifa sahihi. Kama huto jali na kweli uko clean na mzigo umekwama mda wote huo njoo DM kwa usaidizi. Mzigo wenye nyaraka zote invoice, BL na TBS inspection una subiri nini mda wote? Hii haija kaa sawa njoo DM kama haya ya kweli.
 
Bandarini hapo ni shida lukuki.kizimkazi pamoja na kuuza bandari yetu Kwa waarabu wake Kwa ahadi za uongo kuwa ataboresha huduma lakini ndiyo ubovu umeongezeka kuliko ilivyokuwa hapo awali.kwa Sasa wafanyabiashara wengi wa tz wanatumia bandari ya Mombasa Kwa usalama na uharaka wa mzigo.
 
Mwezi wa Saba huu wa
Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam

Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini

Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa saba ila mzigo haujatoka mpaka leo nina simu za nokia pisi 1000 mzigo jna miezi mitatu haujatoka ingawa meli zilishusha tayari

Ninapoongea nimeanza kupewa tuhuma kuwa nimetapeli wateja wakati mizigo imefika na hawatoi


Bibafsi naomba mamlaka zifanye jitihada wanaivunjia heshima bandari wateja watakimbia
kumi!
 
Bandarini hapo ni shida lukuki.kizimkazi pamoja na kuuza bandari yetu Kwa waarabu wake Kwa ahadi za uongo kuwa ataboresha huduma lakini ndiyo ubovu umeongezeka kuliko ilivyokuwa hapo awali.kwa Sasa wafanyabiashara wengi wa tz wanatumia bandari ya Mombasa Kwa usalama na uharaka wa mzigo.
Acha uongo mwambaaa achana na taarifa za kuambiwa
 
Hamna story kama hiyo baandarini hakuna. Or else tuma msg za malipo ya mzigo hapa, hide codes, tuma msg za hao wateja wao, tuone kwamba kweli,.
Mimi nitakusaidia kutoa mzigo wako or else hizi shutuma ni nzito sana, ni za kuwajulisha hata polisi. Useme wewe unataka usaidiwe vipi upate haki zako na stahiki.
 
Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam

Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini

Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa saba ila mzigo haujatoka mpaka leo nina simu za nokia pisi 1000 mzigo jna miezi mitatu haujatoka ingawa meli zilishusha tayari

Ninapoongea nimeanza kupewa tuhuma kuwa nimetapeli wateja wakati mizigo imefika na hawatoi


Bibafsi naomba mamlaka zifanye jitihada wanaivunjia heshima bandari wateja watakimbia

Agent wako anaekutolea mizigo anakudanganya

Haiwezekani Contena lifike mwezi wa 7 halafu lisitoke bandarini hadi mwezi wa 10
 
Kodi ipi? Sisi tunaosafirisha mizigo kupitia makampuni ya cargo bei tunayochajiwa ina conclude na kodi so swala la kodi sio jukumu langu mimi

Huyo cargo Aliekusafirishia anakudanganya. Mimi ni logistics officer wa kampuni kubwa. Najua kila kitu kuhusu clearence ya bandarini. Na muda gani contena likishushwa kwenye meli linapaswa liwe limeondoka.
 
Bandarini hapo ni shida lukuki.kizimkazi pamoja na kuuza bandari yetu Kwa waarabu wake Kwa ahadi za uongo kuwa ataboresha huduma lakini ndiyo ubovu umeongezeka kuliko ilivyokuwa hapo awali.kwa Sasa wafanyabiashara wengi wa tz wanatumia bandari ya Mombasa Kwa usalama na uharaka wa mzigo.
Umewahi kutoa mzigo kwa jina lako kupitia bandari yoyote ile? Haya mambo sio ya kushabikia mkuu mengine sio ya kweli. Una Customs procedures za kutoa mzigo bandarini? Ukiulizwa mzigo una chelewa wapi bandarini una weza elezea? Una weza kuwa na case study ya mzigo wako ulio chelewa kuja na ulio wahi kufika kupitia hiyo bandari ulio tumia? una idadi ya wafanyabiashara walio hamia Mombasa? una fahamu garama na procedure za kutolea mzigo Mombasa badala ya Dar? Kama huna haya majibu huna haki ya kuendelea shabikia usiyo yajua kaa kimya.
 
Umewahi kutoa mzigo kwa jina lako kupitia bandari yoyote ile? Haya mambo sio ya kushabikia mkuu mengine sio ya kweli. Una Customs procedures za kutoa mzigo bandarini? Ukiulizwa mzigo una chelewa wapi bandarini una weza elezea? Una weza kuwa na case study ya mzigo wako ulio chelewa kuja na ulio wahi kufika kupitia hiyo bandari ulio tumia? una idadi ya wafanyabiashara walio hamia Mombasa? una fahamu garama na procedure za kutolea mzigo Mombasa badala ya Dar? Kama huna haya majibu huna haki ya kuendelea shabikia usiyo yajua kaa kimya.
JF Kila mtu mjuaji hata kwa yale wasio na utalaam nayo.
 
JF Kila mtu mjuaji hata kwa yale wasio na utalaam nayo.
Ndio mana tuna takiwa wanyosha mtu hana ajualo ila ana piga kelele kama vile kweli. Mimi niko hapa na subiri aje na majibu alileta mzigo gani kwa bandari ipi na alikwama wapi. Maana bandari ni kubwa na ina vitengo sasa akidhania wote tuna pokea kila taarifa wengine wako deep na usije kuta ni wafanyakazi pia hahahahah so aje aseme hapa ni bandari ipi na wapi alikwama ni mpe majibu yake.
 
DP World, Customs na Bandari wanastahili pongezi kwa kasi ya mzigo kumfikia aliyeagiza mizigo.

Hayo ndiyo manufaa makubwa ya kuleta mwekezaji mkubwa wa nje kuichukua bandari.
 
Back
Top Bottom