Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Basi kampuni uliyotumia, ndio wamekupanga hivyo, wao ndio wana shida, sio bandarini.Kodi ipi? Sisi tunaosafirisha mizigo kupitia makampuni ya cargo bei tunayochajiwa ina conclude na kodi so swala la kodi sio jukumu langu mimi