Changamoto gani ulipitia ukaitatua, ukaamini nikweli kwamba nyakati ngumu hazidumu

Changamoto gani ulipitia ukaitatua, ukaamini nikweli kwamba nyakati ngumu hazidumu

fufumajeusi

Member
Joined
Dec 21, 2024
Posts
38
Reaction score
61
wakuu napitia msoto sijui natokaje hapa nilipo, age yangu 29 yrs ,ni mtu mwenye ndoto kubwa lkn naona kila nikitafuta mafanikio naona kama napokea matatizo yakutosha.

elimu yangu nina bachelor ya economics and statistics (Baest tangu 2019) upande wa familia nina mtoto mmoja ,shughuli yangu kwa sasa ni kilimo cha mahindi na alizeti lkn tangu 2019-2025 mambo bilala smtm uhakika wa msosi na kodi ni kipengele! madeni ndio yanani sumbua sana.
 
wakuu napitia msoto sijui natokaje hapa nilipo, age yangu 29 yrs ,ni mtu mwenye ndoto kubwa lkn naona kila nikitafuta mafanikio naona kama napokea matatizo yakutosha.

elimu yangu nina bachelor ya economics and statistics (Baest tangu 2019) upande wa familia nina mtoto mmoja ,shughuli yangu kwa sasa ni kilimo cha mahindi na alizeti lkn tangu 2019-2025 mambo bilala smtm uhakika wa msosi na kodi ni kipengele! madeni ndio yanani sumbua sana.
Kuna kipindi nilitoka 100 hadi 0 yani hata kula haikuwa uhakika yani nlipoteza matumaini.
Ila Mungu mwema alinipandisha kwa namna ambayo sikutegemea leo nimepanda zaidi ya nlipokuwa namiliki assets kadhaa na natumaini makubwa huko mbele. Yani naweza kusema ni middle income earner
 
Nimeamin mungu kwanza

Kuna kipindi nilitoka 100 hadi 0 yani hata kula haikuwa uhakika yani nlipoteza matumaini.
Ila Mungu mwema alinipandisha kwa namna ambayo sikutegemea leo nimepanda zaidi ya nlipokuwa namiliki assets kadhaa na natumaini makubwa huko mbele. Yani naweza kusoma ni medium income earner
nipe mbinu ndugu yangu, muda mwingine nazima simu kisa madeni nadaiwa na watu binafsi mpaka taasis
 
Back
Top Bottom