Changamoto gani ulipitia ukaitatua, ukaamini nikweli kwamba nyakati ngumu hazidumu

Changamoto gani ulipitia ukaitatua, ukaamini nikweli kwamba nyakati ngumu hazidumu

nipe mbinu ndugu yangu, muda mwingine nazima simu kisa madeni nadaiwa na watu binafsi mpaka taasis
Mkuu nlikuwa na madeni, nikapoteza marafk ambao nlikuwa nakunywa nao bia na kuwagawia pesa kipindi nna pesa. Nikauza gari, ikafika nikauza hadi kila ktu ndan nikabak na kitanda na sofa tu. Kodi ikanishinda nikabeba vitu nikapeleka kwa rafiki yangu akanipa chumba kwake. Nikageuka hadi kuwa kama houseboy kwake kwa miez 9.
Nikaona hapa nikiendelea kukaa sitoboi nikaondoka.
Nikaenda kukaa chumba kimoja kodi 30000, nikaanza upya kufanya jambo ambalo nikilisema hapa watu watabisha mpaka kesho na wala wakati naanza ilikuwa njaa tu sikutegemea kama itanlipa. It was just for surviving kqa muda huo ila ikanipa zaidi.
Ndani ya miezi 6 ilipoanza corona maisha yalianza kurudi kwa reli na sasa naweza kusema niko vzuri kuliko awali.
 
Mkuu nlikuwa na madeni, nikapoteza marafk ambao nlikuwa nakunywa nao bia na kuwagawia pesa kipindi nna pesa. Nikauza gari, ikafika nikauza hadi kila ktu ndan nikabak na kitanda na sofa tu. Kodi ikanishinda nikabeba vitu nikapeleka kwa rafiki yangu akanipa chumba kwake. Nikageuka hadi kuwa kama houseboy kwake kwa miez 9.
Nikaona hapa nikiendelea kukaa sitoboi nikaondoka.
Nikaenda kukaa chumba kimoja kodi 30000, nikaanza upya kufanya jambo ambalo nikilisema hapa watu watabisha mpaka kesho na wala wakati naanza ilikuwa njaa tu sikutegemea kama itanlipa. It was just for surviving kqa muda huo ila ikanipa zaidi.
Ndani ya miezi 6 ilipoanza corona maisha yalianza kurudi kwa reli na sasa naweza kusema niko vzuri kuliko awali.
ulifanyaje afsa share strategy!
 
Kitu chochote ukikichagua kinainuliwa moja Kwa moja.

Mfano umesema unalima (mkulima)
Jaribu kuwa unaamka usiku around.2:AM uiombee Kazi yako ili ipat kibali .

Kuhusu nyakati ngumu , Mimi huwa nazifananisha na mgeni ambaye huwa anakuja kukutembelea na kuondoka .

Kuhusu uchumi ni vizuri usitegemee chanzo kimoja cha mapato na hii ndo njia ya uhakika ya kuwa na unafuu wa maisha.

Mfano wewe kwakuwa umesoma basi unaweza kuwa smart broker wa mazao ya kilimo Kwa kuhakikisha unawatafutia masoko wakulima wenzako hii pia waweza kuitumia kujiongezea kipato.

Ntaendelea.....
 
wakuu napitia msoto sijui natokaje hapa nilipo, age yangu 29 yrs ,ni mtu mwenye ndoto kubwa lkn naona kila nikitafuta mafanikio naona kama napokea matatizo yakutosha.

elimu yangu nina bachelor ya economics and statistics (Baest tangu 2019) upande wa familia nina mtoto mmoja ,shughuli yangu kwa sasa ni kilimo cha mahindi na alizeti lkn tangu 2019-2025 mambo bilala smtm uhakika wa msosi na kodi ni kipengele! madeni ndio yanani sumbua sana.
Mtoto mmoja si sawa kama huna hela, ongeza watoto kwanza wafike kuanzia 4 hapo akili itakaa sawa tuu, huyo mmoja anakulemaza.
 
wakuu napitia msoto sijui natokaje hapa nilipo, age yangu 29 yrs ,ni mtu mwenye ndoto kubwa lkn naona kila nikitafuta mafanikio naona kama napokea matatizo yakutosha.

elimu yangu nina bachelor ya economics and statistics (Baest tangu 2019) upande wa familia nina mtoto mmoja ,shughuli yangu kwa sasa ni kilimo cha mahindi na alizeti lkn tangu 2019-2025 mambo bilala smtm uhakika wa msosi na kodi ni kipengele! madeni ndio yanani sumbua sana.
Mimi nimewahi kupitia changamoto kadhaa ila hata namna ambavyo nilizitatua tatua makosa namna ya kuelezea sana sana tuseme tu kuna nyakati huwa ni miracle inatokea kwa maana kuna muda unakutana na changamoto na unatumia akili zako zote za kawaida ila inashindikana baadae unaamua kutulia tu ya kwamba liwalo na liwe ila unajikuta kwenye nyakati ambazo hujazitarajia miracle inatokea na unabaki tu kushangaa.

Kuna nyakati shida huwa zinamjilia mtu ili nguvu kuu ya ulimwengu iweze kujidhihirisha kupitia mtu huyo.

Ndio maana mara zote nikiwa nafanya mambo yangu huwa nafanya kwa kutimiza ule wajibu wangu ila yaliyobaki naiachia universe iamue.

So kama unakitu chochote ambacho unakiamini kwenye maisha yako ambacho huwa unakitumia kama kiunganishi chako na ulimwengu wa kiroho basi huu ni wakati sahihi wa kujiungamanisha nacho.

Lakini pia unatakiwa uelewe ya kwamba inawezekana hiko kitu unachokifanya kwaajiri ya kukuingizia pesa si kitu ambacho kinafungamana na wewe so jitahidi uendelee kujitafuta coz kwanza wewe bado ni kijana mdogo kwa maana upo kwenye umri wa try and error so usiogope kujaribu jaribu kwenye mambo yote ambayo unahisi moyo wako unayatamani kuyafanya kwa maana ndani ya mambo hayo lipo jambo moja ambalo limebeba hatima yako, na once ukilipata hautoweza kubaki kama ulivyo (na hii haijalishi kama unaamini au hauamini lakini hivi ndivyo ilivyo so endelea kupambana mkuu lakini usitumie muda mrefu kufanya jambo moja hasa ukishaona halileti matokeo unayoyatarajia)
 
Kitu chochote ukikichagua kinainuliwa moja Kwa moja.

Mfano umesema unalima (mkulima)
Jaribu kuwa unaamka usiku around.2:AM uiombee Kazi yako ili ipat kibali .

Kuhusu nyakati ngumu , Mimi huwa nazifananisha na mgeni ambaye huwa anakuja kukutembelea na kuondoka .

Kuhusu uchumi ni vizuri usitegemee chanzo kimoja cha mapato na hii ndo njia ya uhakika ya kuwa na unafuu wa maisha.

Mfano wewe kwakuwa umesoma basi unaweza kuwa smart broker wa mazao ya kilimo Kwa kuhakikisha unawatafutia masoko wakulima wenzako hii pia waweza kuitumia kujiongezea kipato.

Ntaendelea.....
ushauri mzuri kaka
 
Mimi nimewahi kupitia changamoto kadhaa ila hata namna ambavyo nilizitatua tatua makosa namna ya kuelezea sana sana tuseme tu kuna nyakati huwa ni miracle inatokea kwa maana kuna muda unakutana na changamoto na unatumia akili zako zote za kawaida ila inashindikana baadae unaamua kutulia tu ya kwamba liwalo na liwe ila unajikuta kwenye nyakati ambazo hujazitarajia miracle inatokea na unabaki tu kushangaa.

Kuna nyakati shida huwa zinamjilia mtu ili nguvu kuu ya ulimwengu iweze kujidhihirisha kupitia mtu huyo.

Ndio maana mara zote nikiwa nafanya mambo yangu huwa nafanya kwa kutimiza ule wajibu wangu ila yaliyobaki naiachia universe iamue.

So kama unakitu chochote ambacho unakiamini kwenye maisha yako ambacho huwa unakitumia kama kiunganishi chako na ulimwengu wa kiroho basi huu ni wakati sahihi wa kujiungamanisha nacho.

Lakini pia unatakiwa uelewe ya kwamba inawezekana hiko kitu unachokifanya kwaajiri ya kukuingizia pesa si kitu ambacho kinafungamana na wewe so jitahidi uendelee kujitafuta coz kwanza wewe bado ni kijana mdogo kwa maana upo kwenye umri wa try and error so usiogope kujaribu jaribu kwenye mambo yote ambayo unahisi moyo wako unayatamani kuyafanya kwa maana ndani ya mambo hayo lipo jambo moja ambalo limebeba hatima yako, na once ukilipata hautoweza kubaki kama ulivyo (na hii haijalishi kama unaamini au hauamini lakini hivi ndivyo ilivyo so endelea kupambana mkuu lakini usitumie muda mrefu kufanya jambo moja hasa ukishaona halileti matokeo unayoyatarajia)
noted chief
 
Mimi ni kati ya watu waliopitia changamoto kubwa....from Hero to Negative infinity,kasoro tuu sikufa...ila

Muda wote nilikua namuomba Mungu...tafuta nyuzi zangu humu utazikuta,siongelei imani yako utafanyaje...lakini mimi kama mkatoliki


Nilifanya bidii ya kuhudhuria misa...kusali rosary,kufunga,kusoma maandiko matakatifu na kuwa na mwenendo mwema,lakini kusaidia watu hata katika hali yangu ya kusaidiwa

Kuna muda niliacha kusali nikasema hivi Mungu anasikia?thanks kwa mama yangu alinitia moyo nkaendelea....


Mungu sio mzee Mkumbo...leo niko na maisha mazuri na familia...nkiongelea maisha mazuri siongelei kuendesha benzi au BMW...No! Silitaki...ila familia yangu tunapata mahitaji ya msingi na tuko wenye furaha ya kweli tukiifurahia zawadi ya uhai wa muumba


Mytake...Acha kuwaza kama utatatua kila kitu mwenyewe...ni Congo,yaache yote mikononi mwa Mungu

Epuka huduma za maombezi na manabii,lakini pia ushirikina

Ntakuombea Mungu ayaone unayopitia,akupe moyo mkuu,akuoneshe njia,ukawe mwenye kumpenda katika yote
 
Back
Top Bottom