fufumajeusi
Member
- Dec 21, 2024
- 38
- 61
- Thread starter
- #41
mkuu sio poa life limegomaMkuu balaa unajiletea mwenyewe, unaanzaje kujiita fufumajeusi 😂, fufuma limekalia mafanikio yako kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu sio poa life limegomaMkuu balaa unajiletea mwenyewe, unaanzaje kujiita fufumajeusi 😂, fufuma limekalia mafanikio yako kijana
nimekuelewa afsaMaisha ya sasa hivi watu wengi huwa waliyachagua huko nyuma
Itakuwa ngumu kunielewa ila kuna siku utaweza kuja kuelewa kauli yangu.
Mawazo, hisia, matendo yako ya sasa ndio yataamua kesho yako.
Kila la kheri kwako
Nlizipata along the way mkuu. Nlianzaga na freelancer.com nikahamia upwork now kote sipo ni clients wa kudumuskills ulipata vp, na unatumia platforms gani?
AmiinMimi ni kati ya watu waliopitia changamoto kubwa....from Hero to Negative infinity,kasoro tuu sikufa...ila
Muda wote nilikua namuomba Mungu...tafuta nyuzi zangu humu utazikuta,siongelei imani yako utafanyaje...lakini mimi kama mkatoliki
Nilifanya bidii ya kuhudhuria misa...kusali rosary,kufunga,kusoma maandiko matakatifu na kuwa na mwenendo mwema,lakini kusaidia watu hata katika hali yangu ya kusaidiwa
Kuna muda niliacha kusali nikasema hivi Mungu anasikia?thanks kwa mama yangu alinitia moyo nkaendelea....
Mungu sio mzee Mkumbo...leo niko na maisha mazuri na familia...nkiongelea maisha mazuri siongelei kuendesha benzi au BMW...No! Silitaki...ila familia yangu tunapata mahitaji ya msingi na tuko wenye furaha ya kweli tukiifurahia zawadi ya uhai wa muumba
Mytake...Acha kuwaza kama utatatua kila kitu mwenyewe...ni Congo,yaache yote mikononi mwa Mungu
Epuka huduma za maombezi na manabii,lakini pia ushirikina
Ntakuombea Mungu ayaone unayopitia,akupe moyo mkuu,akuoneshe njia,ukawe mwenye kumpenda katika yote
umeacha ama still unapiga?Nlizipata along the way mkuu. Nlianzaga na freelancer.com nikahamia upwork now kote sipo ni clients wa kudumu
Bado napiga ila nina clients ambao nlitoka nao huko kwenye platform now napga now moja kwa moja so siko tena kwenye platforms wananicheck moaj kwa moja kwa simu na emailumeacha ama still unapiga?
ok mkuuBado napiga ila nina clients ambao nlitoka nao huko kwenye platform now napga now moja kwa moja so siko tena kwenye platforms wananicheck moaj kwa moja kwa simu na email
Nasoma uzi wako mmoja mtoto unaakili hadi zinamwagikaSina ushua wowote, mimi mwenyewe hapa natafuta mtu wa kunipa hata shilingi 50 mbovu.
Uzi gani?Nasoma uzi wako mmoja mtoto unaakili hadi zinamwagika
Sijui nitatumia njia gani kukupata🤣🤣🤣
JktUzi gani?
Lindi vijijiniJkt
Upstairs uko poa never seen
Olevel ulisoma mkoa gani🤔
Weekend ndio hii, njoosha maelezo hiyo 50K+ ipo kwenye mfuko wa shati hapa.Sina ushua wowote, mimi mwenyewe hapa natafuta mtu wa kunipa hata shilingi 50 mbovu.
Jambo gani ilo mkuu ebu share nasiMkuu nlikuwa na madeni, nikapoteza marafk ambao nlikuwa nakunywa nao bia na kuwagawia pesa kipindi nna pesa. Nikauza gari, ikafika nikauza hadi kila ktu ndan nikabak na kitanda na sofa tu. Kodi ikanishinda nikabeba vitu nikapeleka kwa rafiki yangu akanipa chumba kwake. Nikageuka hadi kuwa kama houseboy kwake kwa miez 9.
Nikaona hapa nikiendelea kukaa sitoboi nikaondoka.
Nikaenda kukaa chumba kimoja kodi 30000, nikaanza upya kufanya jambo ambalo nikilisema hapa watu watabisha mpaka kesho na wala wakati naanza ilikuwa njaa tu sikutegemea kama itanlipa. It was just for surviving kqa muda huo ila ikanipa zaidi.
Ndani ya miezi 6 ilipoanza corona maisha yalianza kurudi kwa reli na sasa naweza kusema niko vzuri kuliko awali.
noted bossMatatizo yote, yana muda..Stay Calm
Kuna familia, koo na makabila fulani ukienda kumposa au kumchumbia binti yao hicho ndio kipengele muhimu cha kukupa binti yao utaulizwa "una madeni au umewahi kukopa?"madeni ndio yanani sumbua sana.