Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Wanawake waliotoka kwenye ndoa kwa sababu hii au ile wapo kwenye majuto mazito japo wengi wao kwenye komenti wamenyooka utadhani hawajapigwa kichwani na kitu kizito chenye ncha kali
 

Kama waweza epusha kuishi na mtu Mwenye mtoto Ni Jambo gumu Sana, wazazi kuachana kabisa Ni ngumu Sana, labda mjane
 
Wanawake waliotoka kwenye ndoa kwa sababu hii au ile wapo kwenye majuto mazito japo wengi wao kwenye komenti wamenyooka utadhani hawajapigwa kichwani na kitu kizito chenye ncha kali

Kuna walionyooka kwa gunia mbili za mkaa, wapo waliishia kwenye tundu za choo, wapo waliokatwa korodani na wake zao na wengine wengiiii wakihofia huko kunyooka

Haya mambo ni ya kumshirikisha Mungu sana

Ukikosea kumshirikisha wakati wa kuanza basi anza kumshirikisha sasa atafanya wepesi katika yote
 

Hiyo 'size' yao unaipima kwa kuzingatia vigezo gani?
 
Hiyo 'size' yao unaipima kwa kuzingatia vigezo gani?
Umri.
Asilimia kubwa, mwanaume anaishi/anaoa mwanamke ayeendana naye kiumri. Mwanaume mwenye miaka 35+, mwanamke wa kuendana naye anakua ameshazaa
 
Umri.
Asilimia kubwa, mwanaume anaishi/anaoa mwanamke ayeendana naye kiumri. Mwanaume mwenye miaka 35+, mwanamke wa kuendana naye anakua ameshazaa

Ambaye anapaswa kuwa na umri gani huyo mwanamke?
 

Mwanamme anayefika 35+ hajaoa, chances are ni msomi au mtu fulani siriazi mwenye kujiandaa…. huyu mtu ataoa msomi mwenzie ambao wanatoka Chuo na miaka 25 hadi 28 ya kujipanga kimaisha.

Wanaozalishwa mapema ni wale wanawake wa kawaida tu ambao ni wengi, yote kwa yote hakuna sheria ya umri….. ni kuchagua tu.
 
Umri.
Asilimia kubwa, mwanaume anaishi/anaoa mwanamke ayeendana naye kiumri. Mwanaume mwenye miaka 35+, mwanamke wa kuendana naye anakua ameshazaa

Mbona wapo ambao wanaendana nae na hawajazaa?
 
Nimeona ndoa za watu wengi zikiharibika mara tu baada ya mtoto wa baba au mama mwingine kuletwa ndani ya nyumba…..na nimekua najiuliza shida ni nn kwa ndoa za siku hizi mbona mababa zetu walilea watoto sio wao na mpaka mtu wa nje kujua ni mpaka uwe karibu na hiyo familia…

Tuna shida sehem aisee.
 
Ukiwa na hela watoto wako watapendwa tu hakuna mwanamke anaetaka kuishi kwa dhiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…