Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utumiaji wa tofali choma, unaweza kunipunguzi gharama za ujenzi? Na nichangamoto zp naweza kukutana nazo endapo ntafanya ujenzi huu?
Mwanza wanatumia mkuu ni rahisi mnoUko wapi kwanini mkuuu?
Umeona hii mkuuu, Kwenye kona kote wanatumia sementi, katikati wanajenga kwa udogo, tofali huku kwetu Njombe zipo aina mbili, ndogondogo na kubwa.Uko wapi kwanini mkuuu?
Kwa sababu saruji inayotumika kwenye kozi tatu za tofari za kuchoma inaweza ikawa na saruji inayotumika kujenga kozi 7 za tofari za kuchoma japokuwa kwa upande mwingine gharama ya saruji itakuja kufidiwa na gharama za tofari za kuchoma maana kidogo zipo chini ukilinganisha na bei ya tofari ya block. Kwenye lipu ahakikishe zote zimenyooka vinginevyo lipu itakuwa zaidi ya inch moja ili kuweza kunyoosha ukutaChangamato ipo kubwa kwenye matumizi makubwa ya cement wakati wa ujenzi wa boma na plasta....ukizingatia kwamba inakua na joint nyingi kwenye ujenzi na wakati wa plasta ndani panakua na mahandaki hiyo wakati wakuweka ukute ukae levo cement nyingi na mchanga vitatumika
Ndogo ndogo za kuchoma ni 50 sh kwa 1 kubwa ni 100tsh kwa mojaUmeona hii mkuuu,,kwenye kona kote wanatumia sementi,katikati wanajenga kwa udogo,,tofali huku kwetu njombe zipo aina mbili,,ndogondogo na kubwaView attachment 823592
Umeiona hiiiiNdogo ndogo za kuchoma ni 50 sh kwa 1 kubwa ni 100tsh kwa moja
Kama huwleweki "sielewekii-🙂 utajibiwaje?Utumiaji wa tofali choma, unaweza kunipunguzi gharama za ujenzi? Na nichangamoto zp naweza kukutana nazo endapo ntafanya ujenzi huu?
Hii kona zote tumetumia sementi kwa kujengea Ila kwa ndan katkat tumetumia tope,,uko vzr mkuuu ni rahisi mkuu