Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili napingana na wewe,niliwahi kutembelea kiwanda kimoja cha kuchoma tofali wakanihakikishia kuwa ikishachomwa maji hayawezi kufanya chochote,nilibisha wakanipa moja wakaniambia niweke kwenye maji siku 7 halafu niwape mrejesho,nilifanya hivyo na siku ya 7 nililitoa likiwa zima..Pia jitahidi uezeke mapema zisinyeshewe sana na mvua zikapoteza uimara
Mkuu maelezo mazuri, isipokuwa umerudia maelezo ya tofari lilelile la kuchoma badala ya kulinganisha na tofari la saruji na kiwango cha matumizi ya saruji kwenye ujenzi.Kwa sababu saruji inayotumika kwenye kozi tatu za tofari za kuchoma inaweza ikawa na saruji inayotumika kujenga kozi 7 za tofari za kuchoma japokuwa kwa upande mwingine gharama ya saruji itakuja kufidiwa na gharama za tofari za kuchoma maana kidogo zipo chini ukilinganisha na bei ya tofari ya block. Kwenye lipu ahakikishe zote zimenyooka vinginevyo lipu itakuwa zaidi ya inch moja ili kuweza kunyoosha ukuta
Tofali za kuchoma ni imara na zinadumu kuliko za cement.Fact
Sio kweli, lile tofali ni imara sana! Maji hayawezi kuharibu. Kama unajua jinsi vyungu vya udongo vilivyo, basi na hizo tofali ni hivyohivyo.Pia jitahidi uezeke mapema zisinyeshewe sana na mvua zikapoteza uimara
Yaani ziwe kama hivi hapa down utapenda 👇👇Ujenzi wa tofari za kuchoma ni mzuri ila hakikisha unanunua tofari zilizopigwa kwa kibao kimoja zitakazotosha nyumba nzima yaani ziwe na shape moja sio unanunua tofari zingine hapa na zingine pale (hii itakusaidia wakati wa kujenga zipangike vizuri pia hakikisha ziwe kubwa kidogo yaanizinakuwa size ya mkate wa 1000 / 1200, sio tule tudogooooooooooo). Changamoto yake yake zinakula simenti nyingi wakati wa lipu kama ukinunua zikiwa shapeless na ndio maana nikasema ununue sehemu moja lakini pia hakikisha ukifika level ya madirisha pitisha mkanda angalau wa nondo mbili kisha endelea kama kawaida juu mpaka renta.
Heee kumbe, navyooenda nyumba hizo mbona navunjika moyo sasa, na hakuna jinsi ya ku Zuia mchwaMchwa ni shida aisee kwa hio nyumba
Yaani unaweza liona dirisha linapukutika hivi hivi
Mkuu mbona naskia zinavutia sana mchwaTofali za kuchoma ni imara na zinadumu kuliko za cement.
Kwa mikoa yenye udongo wa mfinyanzi unatumia udongo kujengea, cement inatumika kwenye kufunga mkanda na kupiga plasta ndani na sakafu.
Ujenzi wa tofali za kuchoma ni wa gharama nafuu
Natumaini ulimaliza kibanda chako Mkuu. Kama bado changamoto mojawapo ni mchwa. Wana tabia ya kupanda ndani kwa ndani hadi kulifikia paa na kuliharibu. Kuzuia hilo, tumia mortar (cement) badala ya udongo kuunganisha tofali.Utumiaji wa tofali choma, unaweza kunipunguza gharama za ujenzi? Na nichangamoto zipi naweza kukutana nazo endapo ntafanya ujenzi huu?
... Tumia cement badala ya udongo kuunganisha tofali. InasaidiaMkuu mbona naskia zinavutia sana mchwa
Kwan bong bad hawajapatikan wataalam wa kudesing vibao vya interlocking block naona zile za kuchona zikitengenezwa kwa stail hiy itakuwa bomba sanUganda wanachoma kwa matanuri ya gas, tofauti hata upige shoka liko imara. Tatizo ni gharama za usafiri kutoka Uganda. Fikiria unajenga nyumba Mtwara yote matofali Uganda.
Huo Ndio ujenzi uliopo huku rukwaLakini unaweza kujengea udongo mpaka wataki wa kufunga renta baada ya hapo ukajengea cement zile kozi za kutoka kwenye renta