Changamoto juu ya ujenzi wa nyumba kwa tofali za kuchoma

Pia jitahidi uezeke mapema zisinyeshewe sana na mvua zikapoteza uimara
Hili napingana na wewe,niliwahi kutembelea kiwanda kimoja cha kuchoma tofali wakanihakikishia kuwa ikishachomwa maji hayawezi kufanya chochote,nilibisha wakanipa moja wakaniambia niweke kwenye maji siku 7 halafu niwape mrejesho,nilifanya hivyo na siku ya 7 nililitoa likiwa zima..
 
Mkuu maelezo mazuri, isipokuwa umerudia maelezo ya tofari lilelile la kuchoma badala ya kulinganisha na tofari la saruji na kiwango cha matumizi ya saruji kwenye ujenzi.
 
Tofali za kuchoma ni imara na zinadumu kuliko za cement.
Kwa mikoa yenye udongo wa mfinyanzi unatumia udongo kujengea, cement inatumika kwenye kufunga mkanda na kupiga plasta ndani na sakafu.
Ujenzi wa tofali za kuchoma ni wa gharama nafuu
 
Vipi kuhusu tofali za hydro..
 
Yaani ziwe kama hivi hapa down utapenda 👇👇
 
Hizi naona ni nzuri
[emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my cupboard using mug
 
Mchwa ni shida aisee kwa hio nyumba
Yaani unaweza liona dirisha linapukutika hivi hivi
 
Mchwa ni shida aisee kwa hio nyumba
Yaani unaweza liona dirisha linapukutika hivi hivi
Heee kumbe, navyooenda nyumba hizo mbona navunjika moyo sasa, na hakuna jinsi ya ku Zuia mchwa
 
Tofali za kuchoma ni imara na zinadumu kuliko za cement.
Kwa mikoa yenye udongo wa mfinyanzi unatumia udongo kujengea, cement inatumika kwenye kufunga mkanda na kupiga plasta ndani na sakafu.
Ujenzi wa tofali za kuchoma ni wa gharama nafuu
Mkuu mbona naskia zinavutia sana mchwa
 
Utumiaji wa tofali choma, unaweza kunipunguza gharama za ujenzi? Na nichangamoto zipi naweza kukutana nazo endapo ntafanya ujenzi huu?
Natumaini ulimaliza kibanda chako Mkuu. Kama bado changamoto mojawapo ni mchwa. Wana tabia ya kupanda ndani kwa ndani hadi kulifikia paa na kuliharibu. Kuzuia hilo, tumia mortar (cement) badala ya udongo kuunganisha tofali.
 
Duh mbona shida sasa nilijipanga kujengea tofari za choma
 
Lakini unaweza kujengea udongo mpaka wataki wa kufunga renta baada ya hapo ukajengea cement zile kozi za kutoka kwenye renta
 
Uganda wanachoma kwa matanuri ya gas, tofauti hata upige shoka liko imara. Tatizo ni gharama za usafiri kutoka Uganda. Fikiria unajenga nyumba Mtwara yote matofali Uganda.
 
Uganda wanachoma kwa matanuri ya gas, tofauti hata upige shoka liko imara. Tatizo ni gharama za usafiri kutoka Uganda. Fikiria unajenga nyumba Mtwara yote matofali Uganda.
Kwan bong bad hawajapatikan wataalam wa kudesing vibao vya interlocking block naona zile za kuchona zikitengenezwa kwa stail hiy itakuwa bomba san
 
Lakini unaweza kujengea udongo mpaka wataki wa kufunga renta baada ya hapo ukajengea cement zile kozi za kutoka kwenye renta
Huo Ndio ujenzi uliopo huku rukwa
Msingi wa tofari za kuchoma au mawe unajengewa kwa tope, kisha wanajengea kwa tope mpk renta wanafunga renta wengi wanaendeleza na tope wengi wanatumia cement..! Ujenzi ni nafuu ukitaka na ni gharama ukipenda, kabla ya kujenga tafuta ramani nzuri, kisha tafuta fundi au maalumu wa ujenzi akupe makisio ya matilio yakakayotumika+ bei za mafundi, fanya window shopping, wewe mwenyewe kisha nunua vifaa, booom utajikuta unajenga kwa bei Nafuu.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…