Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu.

Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule twitter kua amepoteza nauli yake mara nne kila akienda mwanamke yuko tofauti na picha zake, kwa sisi wazoefu tunacheka tu kidogo na kutabasamu tunajua kabisa huyu bado mchanga kwenye haya mambo ya online dating.

Kukuta picha tofauti na mtu alivyo ni jambo la kawaida kabisa hata kama sio mwanamke unaeenda kukutana nae. Ila shida inapokuja kua picha aliyokutumia au aliyoweka mtandaoni sio ya kwake kabisa na wala sie yeye, hiyo ni habari nyingine.

Siku hizi wanawake wengi hawaweki picha ambazo sio zao, wachache sana bado wanatumia huo udwanzi wa kizamani. Unajua picha yako mwenyewe inaweza kukuonyesha tofauti kutegemeana na angle ambayo camera man amesimama, mathalani mwanamke mfupi anaweza kupiga picha ange flani ukamuona ni mrefu sana, au anapiga picha kiflat screen chake angle flani ukazani mtu anavuta tela, muone live unaweza kulia.

Siku hizi wanawake wa mutandaoni wanatafta proffessional cameraman wanawapiga picha angle za kitaalam na after photo effects basi mtu anaonekana mtu mwingine kabisa, akikutumia picha mtoto anawaka, makalio sio makalio, kutana nae sasa, unaishia kulia kwa kupoteza muda wako na pesa zako.


Unaweza kushare ni changamoto gani unakutana nazo mitandaoni.

Hii mada inaendelea.
 
Dah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.

Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!

Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.

Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.

Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?

Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
 
Dah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.

Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!

Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.

Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.

Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?

Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toma Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya kamsudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa mtu anasikia hivyo bado tena anajaribu kudate online



Smtym Mtadate na majini.....
 
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu.

Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule twitter kua amepoteza nauli yake mara nne kila akienda mwanamke yuko tofauti na picha zake, kwa sisi wazoefu tunacheka tu kidogo na kutabasamu tunajua kabisa huyu bado mchanga kwenye haya mambo ya online dating.

Kukuta picha tofauti na mtu alivyo ni jambo la kawaida kabisa hata kama sio mwanamke unaeenda kukutana nae. Ila shida inapokuja kua picha aliyokutumia au aliyoweka mtandaoni sio ya kwake kabisa na wala sie yeye, hiyo ni habari nyingine.

Siku hizi wanawake wengi hawaweki picha ambazo sio zao, wachache sana bado wanatumia huo udwanzi wa kizamani. Unajua picha yako mwenyewe inaweza kukuonyesha tofauti kutegemeana na angle ambayo camera man amesimama, mathalani mwanamke mfupi anaweza kupiga picha ange flani ukamuona ni mrefu sana, au anapiga picha kiflat screen chake angle flani ukazani mtu anavuta tela, muone live unaweza kulia.

Siku hizi wanawake wa mutandaoni wanatafta proffessional cameraman wanawapiga picha angle za kitaalam na after photo effects basi mtu anaonekana mtu mwingine kabisa, akikutumia picha mtoto anawaka, makalio sio makalio, kutana nae sasa, unaishia kulia kwa kupoteza muda wako na pesa zako.


Unaweza kushare ni changamoto gani unakutana nazo mitandaoni.

Hii mada inaendelea.
Mitandaoni kuna maigizo mengi. Sasa ni jukumu la mlengwa wa online dating kuchechemua upi ni uhalisia na upi ni uigizaji. Angalizo sio rahisi kutambua ila inawezekana.
 
Dah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.

Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!

Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.

Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.

Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?

Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
Mzee una roho ngumu Sana, unakutana na demu siku moja bila kupima unapiga show.

Kati ya viumbe jasiri na wewe umo
 
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu.

Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule twitter kua amepoteza nauli yake mara nne kila akienda mwanamke yuko tofauti na picha zake, kwa sisi wazoefu tunacheka tu kidogo na kutabasamu tunajua kabisa huyu bado mchanga kwenye haya mambo ya online dating.

Kukuta picha tofauti na mtu alivyo ni jambo la kawaida kabisa hata kama sio mwanamke unaeenda kukutana nae. Ila shida inapokuja kua picha aliyokutumia au aliyoweka mtandaoni sio ya kwake kabisa na wala sie yeye, hiyo ni habari nyingine.

Siku hizi wanawake wengi hawaweki picha ambazo sio zao, wachache sana bado wanatumia huo udwanzi wa kizamani. Unajua picha yako mwenyewe inaweza kukuonyesha tofauti kutegemeana na angle ambayo camera man amesimama, mathalani mwanamke mfupi anaweza kupiga picha ange flani ukamuona ni mrefu sana, au anapiga picha kiflat screen chake angle flani ukazani mtu anavuta tela, muone live unaweza kulia.

Siku hizi wanawake wa mutandaoni wanatafta proffessional cameraman wanawapiga picha angle za kitaalam na after photo effects basi mtu anaonekana mtu mwingine kabisa, akikutumia picha mtoto anawaka, makalio sio makalio, kutana nae sasa, unaishia kulia kwa kupoteza muda wako na pesa zako.


Unaweza kushare ni changamoto gani unakutana nazo mitandaoni.

Hii mada inaendelea.
1.Kuombana hela 2. Kuomba hela 3. Kupenda hela. Demu haujamla hata mate ameishaomba 50 mara gesi imeisha, mara nauli shida tupu.
 
1.Kuombana hela 2. Kuomba hela 3. Kupenda hela. Demu haujamla hata mate ameishaomba 50 mara gesi imeisha, mara nauli shida tupu.
Mkuu wewe unakutana na wamama. Mimi cha kwanza mwanamke namuuliza unaishi kwako au kwenu. Akisema kwangu huyo huyo disqualified. Mwanamke akiwa kwake ujue bills zote za nyumbani unabeba wewe na nyingine tena, wa kazi gani huyo. Labda awe mzuri sana alafu napiga siku moja natoweka mazima.
 
Afadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
 
Mkuu usiogope. Siku hizi unamkumla hata mtu mwenye ukimwi peku na usipate ukimwi.

Uaiogope.
Mkuu Mimi sio muumini wa condom, naendaga peku baada ya kupima zaidi ya Mara moja....na msuguo wangu huwa una kasi ya 5G+, lazma nichubuke hata Kama ni bwawa kiasi gani ... Ndo maana naogopa vijana wanavyojirahisisha
 
Back
Top Bottom