Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Mtu anayenifahamu akinitamkia siwezi kushangaa hata kama hatukuwahi kuwa na ukaribu ila kinachonishangaza ni.mtu kumtamkia mtu unampenda humjui ni mrefu au mweusi, mrefu au mbilikimo n.k. huu si wizi wa mchana kweupe huu
Na mahusiano bila urafiki hayaendi popote, mwanzo wa mahusiano ni urafiki...
Ila vipi kama unakutana na mtu ambaye yupo serious toka siku ya kwanza mnakutana, na yupo single, na wewe upo serious pia upo single...
Je huyu nae unamchukuliaje anapokuja kukutamkia "nakupenda" siku ya kwanza ama ya pili tangu mfahamiane..??