Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Picha fake machine iko real
Kinachokusumbua hapo nin si unapiga ukiwa umefumba macho shida iko wap
Shida ipo, hisia huwa zinapotea kabisa kama sio kujilazimisha beyond the limit. Ujasiri wa kufumba macho pia unapotea kwa mtu ambae ndo mara ya kwanza mnakutana.

Unaporatajia kuona/kupata kitu fulani halafu ukakikosa huwa unavunjika moyo.
 
Mimi niliwahi kutongoza fb kwa mara ya kwanza dem sikumuelewa kiviile.
Jambo lilianza February hii ya majuzi wazee ,kama kawaida mafisi walivyo nikazama gallery kwa mtoto kuchek picha zake ili nijiridhishe ah hazikuwa na mvuto infact dem nilimuona low class,nakuja kwenye chart sasa hapo ndo alinipa Mood ya kukutana nae baada ya kuniambia kwao Mikocheni namimi Mbezi nikaona wa karibu huuuyooo bear in mind "out of sight out of mind".
Kwenye mazungumzo ya hapa na pale tunapanga appointment sasa.....the process took about 2months almost. Finally ni jaana hii wadau jana hii mbichi Pisi inatimba maskani ebwanae sikuamini macho yangu mpaka ilibidi nijishtukie pale nilipo kuhisi labda manzi angeni underrate since alikuwa pini kishenzi, mdogo mdogo,curves imesimama daaah mwanaume ilinibidi ni extend budget bila kujishauri mara mbili mbili.
The Good news is the lady loves me so much and she appreciate the way natural I look from the photos to the really life.
I probably gonna let you know what will happen huko mbele kama ni ndoa au ndoano.
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
Hivi tinder wanalipia?
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
Hivi tinder wanalipia?
 
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu.

Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule twitter kua amepoteza nauli yake mara nne kila akienda mwanamke yuko tofauti na picha zake, kwa sisi wazoefu tunacheka tu kidogo na kutabasamu tunajua kabisa huyu bado mchanga kwenye haya mambo ya online dating.

Kukuta picha tofauti na mtu alivyo ni jambo la kawaida kabisa hata kama sio mwanamke unaeenda kukutana nae. Ila shida inapokuja kua picha aliyokutumia au aliyoweka mtandaoni sio ya kwake kabisa na wala sie yeye, hiyo ni habari nyingine.

Siku hizi wanawake wengi hawaweki picha ambazo sio zao, wachache sana bado wanatumia huo udwanzi wa kizamani. Unajua picha yako mwenyewe inaweza kukuonyesha tofauti kutegemeana na angle ambayo camera man amesimama, mathalani mwanamke mfupi anaweza kupiga picha ange flani ukamuona ni mrefu sana, au anapiga picha kiflat screen chake angle flani ukazani mtu anavuta tela, muone live unaweza kulia.

Siku hizi wanawake wa mutandaoni wanatafta proffessional cameraman wanawapiga picha angle za kitaalam na after photo effects basi mtu anaonekana mtu mwingine kabisa, akikutumia picha mtoto anawaka, makalio sio makalio, kutana nae sasa, unaishia kulia kwa kupoteza muda wako na pesa zako.


Unaweza kushare ni changamoto gani unakutana nazo mitandaoni.

Hii mada inaendelea.

Hahah jamani si video call zipo kuhusu picha ya mtu

Kuhusu urefu hilo ni tatizo halipingiki huwezi kujua mpaka mkutane
Changamoto za online dating ni zilezile kama za offline

I met my man hapahapa jf after 3 years of chatting,whatsap calls na skype kwanza nilikuwa natuma pics zangu halisi enzi hizo hata kuedit picha sio sana na mimi sio photogenic kawaida tu but tulivyoonana kijana akanielewa he admitted pictures don’t do me justice lol,lakini urefu sasa nilikuwa mrefu sana kuliko alivyotarajia ,I still remember alisimama akajipima urefu bahati alinipita kidogo sana

Changamoto zilizopo ni kawaida kama za mahusiano nje ya mtandao kuhusu appearance sijui hio ni maamuzi ya mtu binafsi tabia ya mtu husaidia sana kmuficha hata mapungufu machache ya physical appearance meaning kama mpo serious na mmeshachat kwa muda mmejuana kidogo appearance is not a big deal

Pole kwa kigazeti
 
Hahah jamani si video call zipo kuhusu picha ya mtu

Kuhusu urefu hilo ni tatizo halipingiki huwezi kujua mpaka mkutane
Changamoto za online dating ni zilezile kama za offline

I met my man hapahapa jf after 3 years of chatting,whatsap calls na skype kwanza nilikuwa natuma pics zangu halisi enzi hizo hata kuedit picha sio sana na mimi sio photogenic kawaida tu but tulivyoonana kijana akanielewa he admitted pictures don’t do me justice lol,lakini urefu sasa nilikuwa mrefu sana kuliko alivyotarajia ,I still remember alisimama akajipima urefu bahati alinipita kidogo sana

Changamoto zilizopo ni kawaida kama za mahusiano nje ya mtandao kuhusu appearance sijui hio ni maamuzi ya mtu binafsi tabia ya mtu husaidia sana kmuficha hata mapungufu machache ya physical appearance meaning kama mpo serious na mmeshachat kwa muda mmejuana kidogo appearance is not a big deal

Pole kwa kigazeti
Haha eti kigazeti. Fanya mpango nikuone lavu na mimi [emoji4][emoji4]
 
Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.

Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.

Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.

🤣🤣🤣🤣🤣duh usikufuru uumbaji we dada
 
Mimi niliwahi kutongoza fb kwa mara ya kwanza dem sikumuelewa kiviile.
Jambo lilianza February hii ya majuzi wazee ,kama kawaida mafisi walivyo nikazama gallery kwa mtoto kuchek picha zake ili nijiridhishe ah hazikuwa na mvuto infact dem nilimuona low class,nakuja kwenye chart sasa hapo ndo alinipa Mood ya kukutana nae baada ya kuniambia kwao Mikocheni namimi Mbezi nikaona wa karibu huuuyooo bear in mind "out of sight out of mind".
Kwenye mazungumzo ya hapa na pale tunapanga appointment sasa.....the process took about 2months almost. Finally ni jaana hii wadau jana hii mbichi Pisi inatimba maskani ebwanae sikuamini macho yangu mpaka ilibidi nijishtukie pale nilipo kuhisi labda manzi angeni underrate since alikuwa pini kishenzi, mdogo mdogo,curves imesimama daaah mwanaume ilinibidi ni extend budget bila kujishauri mara mbili mbili.
The Good news is the lady loves me so much and she appreciate the way natural I look from the photos to the really life.
I probably gonna let you know what will happen huko mbele kama ni ndoa au ndoano.

Kama nilivyosema sisi ambao sio maphotogenic msituchukulie poa lol [emoji23] sasa ungekosa mtoto kwa kudharau
Ps😱nline dating ni kama kamali
 
Nilikutana na chombo wakati huo nikiwa kijana pichani mtu wa maana. Tulipoonana, demu ni mfupi ingawa si sana na mnene. Yaani alivaa shanga lakini pale kiunoni akilala chali hqzionekani sababu ya minyama uzembe.

Sura ni yenyewe ila umbo dah. Mi napenda wanawake warefu wembamba. Mbaya zaidi ananuka mdomo. Nilimla kwa tabu asubuhi huyooo ndukii.
 
Kwan mtaani mademu wameisha wanaume akili zenu zipo chini

Hahahha poleni kwa hasara mnayopata
 
Back
Top Bottom